Unajali nchi yetu kuheshimu Katiba. unajali Fedha za Umma kukaguliwa ili wewe mwananchi uwajibishe viongozi wako. Umechukizwa na Bunge kupitisha Azimio la kukataa kufanya kazi na CAG Prof. Assad. Jiunge na Watanzania wengine kwa kuweka saini PETITION hii changetanzania.org/petitions…
Ifike wakati press conference ziwe na vibali maalumu kama vipo basi ziwe na taratibu na kanuni,Tumechoka kila sku kuibuka na vtu vipya visivyo isha
Watoto kutelekezwa🚮Tezi dume kwa lazima🚮Sasa hivi wajane nayo 🚮
Tumechoka🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
Mm ningekuwa mbunge kwa ticket ya chama chochote kile, alafu nimeshiriki kupiga kura ya kutokua na iman na CAG ,ningejiuzululu maana ni sawa nakudhalilisha mawazo yangu na elimu yangu hata kama ni certificate!!!!
Vijana wengi wanaoniandikia wananiomba kazi, na wanasema wako tayari kufanya kazi yoyote hata ya usafi. Nawaonea huruma lakini sijui nitawasaidiaje, eti tunafanyaje? Inaonekana watu wengi kweli hawana kazi au wananichezea akili tu ?? Mi sijui kwakweli 🤷🏽♀️
Ukimya wa MTU jitafakari ,wakati ww unajipanga kumshambulia kwa maneno yy anapanga kukushambulia kwa vitendo,uczarau ukimya wa MTU kwa kuzani hana lakufanya huenda anakusitiri na aibu ambayo ungepata kwa maneno yake,,
Heshimu ukimya wa mtu
Kufikiri na kutambua njia ,ni mojawapo ya utashi wa mwanadamu, kila jambo linahitaji kuwa katika kulijudge mwenye kabla ya reaction!!!! Usihukumu MTU kwa kosa wakati na wewe unamakosa