#Michuzihabari.Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari akifuatilia mijadala mbalimbali iliyowasilishwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Juni 15 Juni, 2026.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amehudhuria Bunge la 13, Mkutano wa 3, Kikao cha 49, Bungeni