Filter
Exclude
Time range
-
Near
誰か明らかなミスがないかだけ見といてください simai語にわかなので
これが最終形かも
187
simaiランキング 6月中間 pan作品群が一気に上位になりました
1
13
Replying to @choconcipss
AMIINN REZEKIMU PASTI DI SIMAI CIPAA, KITA LOLOS BARENG BARENG YAA!🤍🤍
67
Optimize mixing tank performance with Ansys SimAI™, the cloud‑enabled AI platform from Ansys. Get faster insights, streamline workflows, and accelerate design optimization — all with less effort. 📥 Download the resource now! bit.ly/3QGg6lL
7
Replying to @joharimshana
Vitambi vya historia itabid viandikwe vizuri vikionyesha namna wazanzibari walivyoamua kusimama na dada yao. Wote kuanzia wanaharakati(Fatma Karume), Wasome(Prof. Assad), Wapinzani(Mwalimu, Said Issa, Hamad Rashid), wabunge(Simai Mohamed), nk!
1
2
217
Replying to @LeonidasV
Des ena pousti edo pou ipostirizei moullades kai hezbolah.....oti anthropino dikaioma to exoun katakreourgisei mazi me tous anthropous tous. Kai aftos o koumounistakos o leonida ipostirizei..vgale simai tou isis mias kai eisai ekei...eisai i ntropi tis manas sou hamene
15
Simai na Yuda wapi na wapi ukimuuliza Yuda ni naninna anapatikana wapi hajui amekalili tu. Pumbafu kabisa
1
Replying to @lwaitama1
Ila dalali amejifharilisha sana kiasi kwamba hata mtoto mdogo anajiuliza hv ni huyu aliyesema amekubali matokeo na endapo chama kikiwa ktk hatari ataingia mzima kuilinda heshima yachama. Kweli huyu ni zaidi ya YUDA wa Simai.
2
92
DIVAの譜面をgss上に描画するマクロを作った 譜面をsimai式で入力して実行するだけでビートマニアみたいな譜面に変換する
1
136
mobappdev retweeted
Kafanye MDAHALO na SIMAI na MWIGULU. Title ya MDAHALO iwe , NAMNA YA KU DEAL NA YUDA NDANI YA BUNGE.
83
193
1,801
48,673
VIDEO: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Masaga Kaloli, ameingilia kati mjadala mzito wa kisiasa uliozuka bungeni hivi karibuni baada ya Mbunge wa Tunguu (Zanzibar), Simai Mohammed Said, kambatiza kiongozifulani serikali jina la "Yuda Iskariote." Akizungumza na wananchi mkoani Mbeya jana Jumapili, Juni 7, 2026, Kaloli amesema kuwa CHADEMA haitaki kuingilia migogoro ya ndani ya chama tawala, lakini akatoa ofa kwa kiongozi huyo anayeitwa Yuda kwamba kama ana nia njema na nchi basi anakaribishwa kujiunga na upinzani. Kaloli ametumia sakata hilo kukosoa mfumo wa uwakilishi wa wabunge wa chama tawala bungeni, akidai kuwa wameacha wajibu wao wa kikatiba wa kuisimamia serikali na kutetea wananchi, na badala yake wamebaki kumsifu na kumlinda mkuu wa nchi pekee.
4
3
55
4,416
Replying to @royalmediatz
Dhana nzima ya uongozini kwa ajili ya watu. Dr. Nchimbi anajua hivyo na ndiyo maana alisema " matokeo ya chama kinachoteka watu ni wananchi kukikataa" kupitia sanduku la kura. CCM kijitenge na utekaji ili kisikataliwe. Simai anaposema Dr. ni Yuda, CCM lini walkubaliana kuteka?
37
Yuda wa Simai na yaliyojificha nyuma ya hoja Utanganyika dhidi ya Uzanzibari. Ukristo dhidi ya Uislamu. We are in a mess!
23
DeezyMe retweeted
Replying to @AnnaTibaijuka
1. Simai aligombana na Rais wake mpaka akajiuzuru, Mama akamteua — je Mama naye ni Yuda wake? 2. Simai ni Mzanzibari anamnanga Mtanganyika — je hii ni kero au ufa katika Muungano? 3. Simai anasali Ijumaa lakini anamnanga anayesali Jumapili kwa kumwita Yuda — je alitumwa na msikiti? 4. Maneno ya Simai yameingia Hansard na Bunge halikukanusha — je Bunge zima linamwita Nchimbi Yuda? 5. Wabunge walipiga makofi wakati Naibu Spika alipomwongoza mtoa hoja — walimshangilia Simai au walifurahia mwongozo? 6. Hoja ilitolewa Rais akiwa nje ya nchi, hivyo Makamu ndiye kiongozi wa zamu — je Simai hamtambui Makamu? 7. Hakuna Yuda wala wokovu katika hoja hii; Simai amekosea kabisa. 8. CCM inayumba bila upinzani; tulishauri Lisu aachiwe ili aunganishe chama lakini mapendekezo yetu yalipuuzwa. 9. Lisu alikamatwa kwa uhaini baada ya kumuunga mkono Mama kwenye 4R zake ambayo mojawapo ni “REFORMS” (Bila Mabadiliko Hakuna Uchaguzi). 10. Wenye madaraka punguzeni nguvu, ongezeni hekima na ridhianeni ili tuwe na maridhiano ya kweli.
2
4
1,007
Rais Dkt Samia akirejea nchini baada ya ziara kubwa,nzito yenye maono makubwa na iliyofanikiwa kwa asilimia 100 nchini Urusi,sasa njoo kwa NGUCHIRO za CHADEMA na SIMAI hii picha ya Rais Na Makamu wake imewaumiza sana,nadhani sasa mjadla utasitishwa rasmi
2
5
9
280
Huyu simai Bro wako unayempeti peti ndio aliingia madarakani kwa uchaguzi huu? Nice choice of friends
Simai , huko wapi Bro , kuna Chalii ananiparamia huku !!!
1
2
1,550
SIMAI akiiona hii picha roho inamuuma, kwa sababu dili lake la kuwachonganisha halijaaTICK
2
3
18
1,729