Bora useme tu kama wewe huamini Mungu tukuelewe, kwani hakuna watu wanapandikiza na mimba zinafeli?
Na je hio IVF kaijua mwaka jana? Bado hapo hujui kama wakati wa Mungu umefika?
Kaka, maombi hayalipii medical procedures.. if it was like that, basi sisi wa kaya dunia wengi tusingekuwa tunapata changamoto ama kufariki kisa hatuna tu hela ya kufungua daftari au kununua dripu..
Unless uliwahi Kuona Kuna mahali wanapeleka Imani kwenye dirisha la dawa.. tupeleke tafadhali 🙏🏿