Writer | RichKid Content Creator | Life lessons daily. Think better. Live better | Building #ElimuBure | My Resources→beacons.ai/arthurgeil

Joined January 2022
1,813 Photos and videos
Pinned Tweet
JINSI YA KUITAWALA AKILI YAKO The Mind Game Control Thread/Uzi🧵
4
7
38
5,790
Mwanangu Kuna wakati mgumu katika maisha unapitia hata wale wanaokutegemea unatamani wasijue maumivu unayo yapata.
1
3
19
227
MWANAHISABATI retweeted
NJIA KUMI UNAZOWEZA KUZITUMIA ILI KUFANIKIWA KATIKA MAMBO YAKO: 1. MALENGO NA MAONO Huwezi kufika sehemu usiyoijua. Kuwa na picha kichwani, unataka maisha gani? pesa kiasi gani? lifestyle ipi? Ukikosa hii, utapoteza muda mwingi ukizunguka. 2. ELIMU NA UJUZI School/Chuo pekee haitoshi. Jifunze skills zinazolipa, tech, biashara, au communication nk… Ujuzi ndio silaha yako kwenye dunia ya leo. 3. CONNECTION (NETWORKING) Maisha si “unajua nini” tu… ni “unamjua nani” pia. Jenga mahusiano. Ongea na watu. Jionyeshe. Fursa nyingi zinakuja kupitia watu, sio mitihani. 4. KUJITUMA NA NIDHAMU Hapa ndipo wengi wanaanguka. Unataka mafanikio lakini hupendi process. Nidhamu ni kufanya unachopaswa kufanya hata kama hujisikii. 5. AKIBA NA UWEKEZAJI Usitumie kila unachopata. Kidogo kidogo kinaanza kukujenga. Pesa ikikukuta hujui kuitunza, itakukimbia. 6. AFYA YA MWILI NA AKILI Usidanganyike ukichoka akili, kila kitu kinaanguka. Kula vizuri. Lala. Pumzika. Hustle bila afya ni hasara. 7. UBUNIFU NA KUJARIBU Usiogope kuanza kitu kipya. Hapo ndipo vipaji vyako vinajificha. Jaribu, anguka, jifunze, rudi tena. 8. KUJIFUNZA KWA WENGINE Usijifanye unajua kila kitu. Kuna watu walishapita njia unayotaka kupita. Chukua maarifa yao uta-save miaka mingi ya makosa. 9. THAMANI NA MAADILI Hii ndio brand yako ya kweli. Ukishajulikana kwa uongo au ujanja ujanja, milango mingi itafungwa. Uadilifu unalipa, japo polepole. 10. USTAHIMILIVU NA KUJIAMINI Safari haitakuwa rahisi. Utakataliwa, utafail, utachoka. Lakini ukiendelea kusimama hapo ndipo tofauti inaanza kuonekana. Never Give Up hata iweje. Share Madini Tujifunze Wote Kwa Pamoja👇
1
5
15
760
Watu wanaoteseka zaidi moyoni hapa duniani ni wale wanaoishi maisha yao wakitawaliwa na maoni ya watu wengine.
1
1
14
320
MWANAHISABATI retweeted
JINSI YA KUITAWALA AKILI YAKO The Mind Game Control Thread/Uzi🧵
4
7
38
5,790
NJIA KUMI UNAZOWEZA KUZITUMIA ILI KUFANIKIWA KATIKA MAMBO YAKO: 1. MALENGO NA MAONO Huwezi kufika sehemu usiyoijua. Kuwa na picha kichwani, unataka maisha gani? pesa kiasi gani? lifestyle ipi? Ukikosa hii, utapoteza muda mwingi ukizunguka. 2. ELIMU NA UJUZI School/Chuo pekee haitoshi. Jifunze skills zinazolipa, tech, biashara, au communication nk… Ujuzi ndio silaha yako kwenye dunia ya leo. 3. CONNECTION (NETWORKING) Maisha si “unajua nini” tu… ni “unamjua nani” pia. Jenga mahusiano. Ongea na watu. Jionyeshe. Fursa nyingi zinakuja kupitia watu, sio mitihani. 4. KUJITUMA NA NIDHAMU Hapa ndipo wengi wanaanguka. Unataka mafanikio lakini hupendi process. Nidhamu ni kufanya unachopaswa kufanya hata kama hujisikii. 5. AKIBA NA UWEKEZAJI Usitumie kila unachopata. Kidogo kidogo kinaanza kukujenga. Pesa ikikukuta hujui kuitunza, itakukimbia. 6. AFYA YA MWILI NA AKILI Usidanganyike ukichoka akili, kila kitu kinaanguka. Kula vizuri. Lala. Pumzika. Hustle bila afya ni hasara. 7. UBUNIFU NA KUJARIBU Usiogope kuanza kitu kipya. Hapo ndipo vipaji vyako vinajificha. Jaribu, anguka, jifunze, rudi tena. 8. KUJIFUNZA KWA WENGINE Usijifanye unajua kila kitu. Kuna watu walishapita njia unayotaka kupita. Chukua maarifa yao uta-save miaka mingi ya makosa. 9. THAMANI NA MAADILI Hii ndio brand yako ya kweli. Ukishajulikana kwa uongo au ujanja ujanja, milango mingi itafungwa. Uadilifu unalipa, japo polepole. 10. USTAHIMILIVU NA KUJIAMINI Safari haitakuwa rahisi. Utakataliwa, utafail, utachoka. Lakini ukiendelea kusimama hapo ndipo tofauti inaanza kuonekana. Never Give Up hata iweje. Share Madini Tujifunze Wote Kwa Pamoja👇
1
5
15
760
WhatsApp Channel yangu ipo hewani sasa. Thread mpya utakuwa wa kwanza kuziona. Mawazo ya pesa, maisha, discipline, mindset na kujijenga hayo yote nitakuwa naweka huko pia for FREE. Bofya hapa ujiunge👇🏾 whatsapp.com/channel/0029Vb7…
1
245
MWANAHISABATI retweeted
SIRI ILIYOPO KWENYE UKIMYA WA WATU WAKIMYA NA WAPOLE INTROVERT Silence is not weakness, it’s preparation. Watu wengi wanaamini kwamba nguvu inaonekana kwenye kelele na kuongea sana kama mtu mwenye mamlaka. Mtu anayesema sana, anayejionyesha sana, anayependa kila mtu ajue hatua zake mara nyingi ndiye anayeonekana kama mwenye kujiamini. Lakini kuna aina nyingine ya nguvu ambayo haipigi kelele. Na hiyo ni nguvu ya mtu anayekaa kimya. Ukimya ambao watu wengi wanauona kama ni udhaifu kumbe ndani yake kuna mchakato mkubwa ambao unaendelea. Kwa sababu wakati mwingine mtu akiwa kimya sio kwamba hana cha kusema… Ni kwamba anachagua muda sahihi wa kusema. Sio kila vita vinashindwa kwa kupiga kelele. Kuna vita vinashindwa kwa akili, subira, na uwezo wa kusubiri wakati sahihi wa kuongea. Sisi watu wakimya (introvert) hua tunautumia ukimya wetu na kwenye muda wetu mwingi wa upweke ku… 1. Kusoma mchezo. Sisi ni watazamaji zaidi kuliko washiriki. Tunaangalia namna watu wanavyoongea, wanavyotenda, wanavyobadilika kulingana na mazingira. Tunajifunza kwamba sio kila tabasamu lina maana ya urafiki, na sio kila ukimya wa mtu una maana ya udhaifu. Wakati wengine wanaongea sana, sisi tunakusanya taarifa. Tunaangalia vitu vidogo ambavyo watu wengi hawavioni. Macho, sauti, mwendo, tabia. Kwa sababu mtu anayesikiliza zaidi mara nyingi hujua zaidi. Yani sisi hua Hatuaji dogo wala kubwa, kila data ina sehemu yake kwenye kichwa chetu. 2. Kupanga hatua zetu. Watu wengi hupenda kuonyesha mbegu kabla haijawa mti. Lakini watu wakimya mara nyingi hujifunza kitu kimoja: Kuna vitu vinakua vizuri zaidi vikikaa siri. Mipango yetu hatuipeleki kila mahali. Ndoto zetu hatuzitangazi kwa kila mtu. Tunajua kwamba sio kila mtu anayesikia maono yako atakutakia kuona yakitimia. Kwa hiyo tunafanya kazi kimya kimya. Tunajenga. Tunajifunza. Tunajirekebisha. Halafu siku ikifika, matokeo yanaongea kwa niaba yetu. Okopa sana hapa, tunaweza kucheka na wewe huku tukikupangia mpango wa kulipiza kisasi kosa ulilotufanyia miaka kumi iliyopita, hahaha… sio kweli. 3. Kujijenga ndani. Upweke wetu sio lazima uwe huzuni. Mara nyingine ni sehemu ambayo tunajikusanya tena. Ni muda wa kujiuliza: Nataka kuwa nani? Ninaenda wapi? Nini kinanizuia? Kwa nini niko hapa? Ni vitu gani vinanifanya nirudie makosa yale yale? Kwenye ukimya ndipo mtu anaanza kujifahamu. Kwa sababu dunia ikiwa na kelele nyingi, ni vigumu kusikia sauti yako mwenyewe. Wengi hua wanakosea na kutuita overthinker ila ukweli ni kwamba mara nyingi hua tuko tunayafikiria mambo yote yanayoendelea kwenye maisha yetu. 4. Kuchaji akili na roho. Kila siku tunakutana na nguvu tofauti za watu, matatizo, presha, watu wenye negative mindset na mazingira tofauti tofauti… Na kwa mtu anayependa utulivu, muda wa kuwa peke yake ni kama kurudisha mfumo kwenye mstari. Ni kama simu yenye betri ndogo ukiipeleka kwenye charger. Sio kwamba simu imeharibika. Inahitaji tu nguvu mpya ili iweze kufanya kazi vizuri. Ndio maana watu wakimya wakirudi, mara nyingi wanarudi wakiwa na focus kubwa zaidi. Comeback zetu hua ni za moto sana. 5. Kujiponya bila makelele. Sio kila maumivu yanahitaji mashahidi. Kuna vitu mtu anavipitia kimya kimya na vinamfundisha zaidi kuliko maneno ya watu mia. Ukimya unampa mtu nafasi ya kukutana na nafsi yake mwenyewe. Kukubali makosa yake. Kujifunza. Kukomaa. Na kutoka akiwa mtu tofauti. Lakini kumbuka… Kuwa kimya haimaanishi huna nguvu. Simba hakimbii huku akitangaza kwamba yeye ni simba. Anatembea taratibu kwa sababu anajua nguvu yake. Kuna watu wanaonekana kimya leo, lakini ndani yao kuna mtu anayejengwa kwa ajili ya kesho. Kwa sababu wakati mwingine… Ukimya sio mwisho wa mchezo. Ukimya ni maandalizi kabla ya hatua kubwa. Najua kuna mambo mengi ambayo yanaendelea kichwani mwako, changamoto za hapa na pale but trust me dakika 30 tu za kila siku kukaa kwenye ukimya huku uki-analyze mawazo yako na kila kitu kinachoendelea kwenye maisha yako kunaweza kutatua nusu ya matatizo yako. Kwenye ukimya unaweza…
3
10
23
1,560
MWANAHISABATI retweeted
Wenda wazazi wako hawakukwambia hili au walichelewa kukuambia... Lakini kuna mambo 16 kuhusu maisha ambayo ungejua mapema yangebadilisha namna unavyoishi leo. Thread🧵
1
6
17
1,921
MWANAHISABATI retweeted
Mabadiliko ya maisha huanza na mabadiliko ya fikra. Tunapobadilisha namna tunavyotazama mambo, tunaanza kuona uwezekano ambao zamani hatukuwa tunauona. Hapo ndipo tunaanza kufanya maamuzi yenye hekima zaidi na kujenga matokeo bora zaidi.
4
13
227
MWANAHISABATI retweeted

1
1
195
MWANAHISABATI retweeted
Kijana ukiwa unajitafuta usiwekeze muda wako mwingi kwa wanawake. Ikiwezekana kaa single ujijenge kwanza!!
Mark Zuckerberg, Elon Musk, Michael Dell, Larry Page na Mabillionaire wengine. Hawakupata utajiri kwa kulala na Wanawake. Hawakupata utajiri kwa kuwezeshwa na Wanawake. Kijana Epuka kuwa na Mahusiano can drain your energy, Wanawake hawatokusaidia chochote otherwise it's business
1
1
1
217
MWANAHISABATI retweeted
Unapoteza heshima na hadhi yako kupitia tabia ndogo ndogo Unazofanya kila siku bila kujua. MAMBO 6 UNAYOFANYA KILA SIKU YANAYOSHUSHA HESHIMA YAKO BILA WEWE KUJUA.
6
18
76
17,326
SIRI ILIYOPO KWENYE UKIMYA WA WATU WAKIMYA NA WAPOLE INTROVERT Silence is not weakness, it’s preparation. Watu wengi wanaamini kwamba nguvu inaonekana kwenye kelele na kuongea sana kama mtu mwenye mamlaka. Mtu anayesema sana, anayejionyesha sana, anayependa kila mtu ajue hatua zake mara nyingi ndiye anayeonekana kama mwenye kujiamini. Lakini kuna aina nyingine ya nguvu ambayo haipigi kelele. Na hiyo ni nguvu ya mtu anayekaa kimya. Ukimya ambao watu wengi wanauona kama ni udhaifu kumbe ndani yake kuna mchakato mkubwa ambao unaendelea. Kwa sababu wakati mwingine mtu akiwa kimya sio kwamba hana cha kusema… Ni kwamba anachagua muda sahihi wa kusema. Sio kila vita vinashindwa kwa kupiga kelele. Kuna vita vinashindwa kwa akili, subira, na uwezo wa kusubiri wakati sahihi wa kuongea. Sisi watu wakimya (introvert) hua tunautumia ukimya wetu na kwenye muda wetu mwingi wa upweke ku… 1. Kusoma mchezo. Sisi ni watazamaji zaidi kuliko washiriki. Tunaangalia namna watu wanavyoongea, wanavyotenda, wanavyobadilika kulingana na mazingira. Tunajifunza kwamba sio kila tabasamu lina maana ya urafiki, na sio kila ukimya wa mtu una maana ya udhaifu. Wakati wengine wanaongea sana, sisi tunakusanya taarifa. Tunaangalia vitu vidogo ambavyo watu wengi hawavioni. Macho, sauti, mwendo, tabia. Kwa sababu mtu anayesikiliza zaidi mara nyingi hujua zaidi. Yani sisi hua Hatuaji dogo wala kubwa, kila data ina sehemu yake kwenye kichwa chetu. 2. Kupanga hatua zetu. Watu wengi hupenda kuonyesha mbegu kabla haijawa mti. Lakini watu wakimya mara nyingi hujifunza kitu kimoja: Kuna vitu vinakua vizuri zaidi vikikaa siri. Mipango yetu hatuipeleki kila mahali. Ndoto zetu hatuzitangazi kwa kila mtu. Tunajua kwamba sio kila mtu anayesikia maono yako atakutakia kuona yakitimia. Kwa hiyo tunafanya kazi kimya kimya. Tunajenga. Tunajifunza. Tunajirekebisha. Halafu siku ikifika, matokeo yanaongea kwa niaba yetu. Okopa sana hapa, tunaweza kucheka na wewe huku tukikupangia mpango wa kulipiza kisasi kosa ulilotufanyia miaka kumi iliyopita, hahaha… sio kweli. 3. Kujijenga ndani. Upweke wetu sio lazima uwe huzuni. Mara nyingine ni sehemu ambayo tunajikusanya tena. Ni muda wa kujiuliza: Nataka kuwa nani? Ninaenda wapi? Nini kinanizuia? Kwa nini niko hapa? Ni vitu gani vinanifanya nirudie makosa yale yale? Kwenye ukimya ndipo mtu anaanza kujifahamu. Kwa sababu dunia ikiwa na kelele nyingi, ni vigumu kusikia sauti yako mwenyewe. Wengi hua wanakosea na kutuita overthinker ila ukweli ni kwamba mara nyingi hua tuko tunayafikiria mambo yote yanayoendelea kwenye maisha yetu. 4. Kuchaji akili na roho. Kila siku tunakutana na nguvu tofauti za watu, matatizo, presha, watu wenye negative mindset na mazingira tofauti tofauti… Na kwa mtu anayependa utulivu, muda wa kuwa peke yake ni kama kurudisha mfumo kwenye mstari. Ni kama simu yenye betri ndogo ukiipeleka kwenye charger. Sio kwamba simu imeharibika. Inahitaji tu nguvu mpya ili iweze kufanya kazi vizuri. Ndio maana watu wakimya wakirudi, mara nyingi wanarudi wakiwa na focus kubwa zaidi. Comeback zetu hua ni za moto sana. 5. Kujiponya bila makelele. Sio kila maumivu yanahitaji mashahidi. Kuna vitu mtu anavipitia kimya kimya na vinamfundisha zaidi kuliko maneno ya watu mia. Ukimya unampa mtu nafasi ya kukutana na nafsi yake mwenyewe. Kukubali makosa yake. Kujifunza. Kukomaa. Na kutoka akiwa mtu tofauti. Lakini kumbuka… Kuwa kimya haimaanishi huna nguvu. Simba hakimbii huku akitangaza kwamba yeye ni simba. Anatembea taratibu kwa sababu anajua nguvu yake. Kuna watu wanaonekana kimya leo, lakini ndani yao kuna mtu anayejengwa kwa ajili ya kesho. Kwa sababu wakati mwingine… Ukimya sio mwisho wa mchezo. Ukimya ni maandalizi kabla ya hatua kubwa. Najua kuna mambo mengi ambayo yanaendelea kichwani mwako, changamoto za hapa na pale but trust me dakika 30 tu za kila siku kukaa kwenye ukimya huku uki-analyze mawazo yako na kila kitu kinachoendelea kwenye maisha yako kunaweza kutatua nusu ya matatizo yako. Kwenye ukimya unaweza…
3
10
23
1,560
WhatsApp Channel yangu ipo hewani sasa. Thread mpya utakuwa wa kwanza kuziona. Mawazo ya pesa, maisha, discipline, mindset na kujijenga hayo yote nitakuwa naweka huko pia for FREE. Bofya hapa ujiunge👇🏾 whatsapp.com/channel/0029Vb7…
1
183
Ukionyesha upendo mwingi sana kwa baadhi ya watu wanaweza kuutumia vibaya na kukuchukulia wewe kama mtu dhaifu.
3
29
669
kupata majibu mengi sana ya maswali yako ambayo unajiuliza kila siku bila kupata majibu. Mungu hunena katika kimya. Kuwa Mbele Ya Muda Na MWANAHISABATI
3
129
JINSI YA KUITAWALA AKILI YAKO The Mind Game Control Thread/Uzi🧵
4
7
38
5,790
WhatsApp Channel yangu ipo hewani sasa. Thread mpya utakuwa wa kwanza kuziona. Mawazo ya pesa, maisha, discipline, mindset na kujijenga hayo yote nitakuwa naweka huko pia for FREE. Bofya hapa ujiunge👇🏾 whatsapp.com/channel/0029Vb7…
1
1
121
Umefika mwisho Asante kwa kusoma huu UZI Ikikupendeza: 1. Nifollow @ArthurGeil! 2. Repost. 3. Washa Notification ili usije kukosa nyuzi nyingine zinazofata. 4. Tukutane WhatsApp Kwenye Channel Link On Bio Kama Bado Hujajiunga Link Hii Hapa: whatsapp.com/channel/0029Vb7…
2
82