Hassan Mwakinyo π£οΈ.
" Usiku wa kuamkia siku ya kupima uzito, mto wa kulalia ulikua na harufu ya ajabu na tofauti kabisa ambayo imezaniwa ndio sababu ya yeye kusikia hali isiyo ya kawaida katika mwili wake na kumpelekea athari za kiafya kiasi cha kupoteza uzito kwa kasi kubwa, kutoka kilo 71 hadi kilo 70, huku nguvu zake zikimuishia"
-------------------