Joined July 2019
5 Photos and videos
Pierre J'cob retweeted
Heri kumpa boyfriend wako chance 20 kuliko kuwapa wanaume 20 chance moja moja,Namaanisha heri kuwa mjinga kuliko kuwa malaya.
1
8
Pierre J'cob retweeted
26 Sep 2020
How many people checked on you today?..Exactly! So focus on Building yourself first!
12
36
221
Pierre J'cob retweeted
24 Sep 2020
Mwanamke mmoja anatosha kabisa kwa Mwanaume mwenye Mipango yake katika Maisha, na Mwanaume Mmoja anatosha kwa Mwanamke anayejua Thamani ya Mwili wake!
24
44
520
Replying to @GavrielEToviel
Ukatiki wa wazi wazi. Lakini pia wqajiri wengi hawapeleki michango hasa NSSF, na baadhi wanaopeleka haziingizwi kwenye Account za wafanyakazi. Usumbufu jamani ni mkubwa kupita maelezo. Wenye mamlaka wasaidieni wafanyakazi. Wafanyakazi wananyasika kila kona.
1
Pierre J'cob retweeted
21 Jul 2020
Kama mwanaume wako Hakupi Pesa.Anamaanisha Anaweka Pesa Ili Aje Akuoe...kuwa Mvumilivu... 💞WANAUME NI WATU WAZURI SANA💞
38
19
384
Pierre J'cob retweeted
#Kumbukizi Gwaji boy kama Gwaji boy 😊😊
2
1
2
Pierre J'cob retweeted
''Ungejua ni jinsi gani watu hukusahau kwa haraka ukifa basi usingeishi kufurahisha watu!!🤔 Mfurahishe Mungu na Furahia Neema ya mungu''🙏🏻🙌🏻📌📌
3
10
Pierre J'cob retweeted
#WapwaTuinuane with the age yako stil kuna mtu anakwambia how to live ya life .. mara jenga mara oa au olewa , mara umri unakwenda utasema umri wake umeganda.. hivi watu wa hivi wana nyumba na magari mangap?!
30
7
182
Pierre J'cob retweeted
Kumtumia Nauli Msichana Uliyekutana Nae Mtandaoni Ni Sawa Na Kuibetia Ushindi Arsenal #ArsenalLivesMatter
32
13
543
Pierre J'cob retweeted
Wapwa Leo Naomba Tuinuane Sana, Kama Uko ChiniYa Followers 10K, like na ku comment hapa kisha Follow Wale Wote Watakao Like Comment Yako Pia watakufollow back Usisahau Na Ku Rt ili ujumbe Ufike Mbali Zaiidi Tuinuane Leo.🙏🙏🙏🙏
156
27
431
If you still have less 10K followers at this point Retweet and drop your username and we will follow you
155
74
245
Pierre J'cob retweeted
Kuna wale wana wanakusaidia kukamilisha michongo yako ya hapa na pale, wathamini. Mara nyingi tunawalipa kidogo au kutowalipa kabisa, tusisahau wana mahitaji na ndoto pia. Tuache kuwa wabinafsi.
18
66
568
Pierre J'cob retweeted
Happy Birthday to Me✌❤ plz RT🙏 my post kunionesha upendo 💝 Katika siku yangu ya Leo.
133
80
831
Pierre J'cob retweeted
Zawadi kubwa tunayopewa kila siku na Mwenyezi Mungu ni pumzi, uhai, afya njema Maana huwezi pata utakacho /mafanikio bila kuwa na afya njema, Mshukuru Mungu maana kuna wengine wako hoi kitandani hawajiwezi wewe ni nani? GM Fam and happy Sunday 💜
23
15
301
Pierre J'cob retweeted
Kijana endelea kujitia upofu kwamba upendi siasa, uzee wako una jengwa leo, wajukuu wako wanatengenezewa mazingira leo. Kama mipango itawekwa isivyo sahihi basi maendeleo ya nchi baadaye yatafanana na kilichopangwa leo #ChangeTanzania

16
27
165
Pierre J'cob retweeted
IKUMBUKWE KUWA HAKUNA MWANAUME MWENYE MWANAMKE MMOJA NA KAMA YUPO BASI NI CHANGAMOTO TU ZA KIUCHUMI NARUDIA TENA NI CHANGAMOTO TU ZA KIUCHUMI.
23
7
200
Pierre J'cob retweeted
Ukimpenda mtu mwambie; Usipepese macho. Asipokuelewa, muoneshe kwa vitendo. Asipokuelewa, achana naye. Hastahili kupendwa. Duniani watu hupenda wasipopendwa. Ila ukibahatika kupendwa, shukuru na changamkia fursa! Maana utajapenda usipopendwa! #NjeYaBox
343
227
2,688
Pierre J'cob retweeted
Nyaga na wenzako si mnasali nyie kukemea corona! Haya kuna mchungaji sijui nabii mtume mwenzenu kafyekwa na 🦠🦠🦠🦠 Akatoe mafunzo ya ndoa na mahusiano huko aendako sasa!! Mnaambiwa kooona ipo mnabisha!!
321
76
2,348