#OnThisDay in 2⃣0⃣1⃣9⃣ we visited Tanzania to face Simba SC in a friendly 🇹🇿
An unforgettable experience sharing football and friendship with our Tanzanian friends ❤️🤍
ARSENAL KAMA AL NASSR TU 😁
Arsenal wamebakiza mechi 2 tu msimu huu kubeba
- Kombe la ligi (EPL) 🏆
- UEFA 🏆
Situation kama hii ilitokea kwa Al Nassr ya Goat Ronaldo, ambapo Al Nassr alibakiza mechi 2 tu kushinda
- AFC 2 🏆
- kombe la Ligi (Saudi pro league) 🏆
Lakini mwisho wa siku Al Nassr aliambulia kichapo cha aibu na kupoteza kombe moja (AFC2) na kubakiwa na kombe moja mkononi.
Kila nikiwaangalia Arsenal naona wanafuata nyayo za Al Nassr, Arsenal kwenye hizi mechi mbili lazima waambulie kichapo kutoka kwa PSG na kupoteza kombe la UEFA kama Al Nassr walivyopiteza AFC 2.
Mwisho wa siku Al Nassr atabeba kombe la ligi na Arsenal vilevile atabeba kombe la ligi tu kwa sababu ndio anauchu lao kutokana na ukame wa miaka 22 (Umri wa mtu mzima huo)
Je, Arsenal watapoteza makombe yote mawili au kombe la ligi litaokoa jahazi? 🤔
Shusha komenti yako hapa 👇🏾
Nawashukuruni woote mlionipa pole kwa kuondokewa na BABA yangu kwa namna yoyote ile wapo waliopiga simu na wengine kufika yoote kwa yoote nawashukuru Mungu awalipe 🙏..
SABABU KUU NNE ZINAZOTHIBITSHA KUA ARSENAL ATAPOTEZA GAME YA LEO
1.West ham atakamia kwakua anakarbia kushuka daraja
2.Arsenal wamechoka, walkua na game katikat ya wiki
3.Sio rahisi kwakua ni LONDON DERBY
4. Ni game ya presure kwa arsenal kwakua matokeo ya aina 1 tu apate
Ni vile tu binadam tunakalili na wala hatupo tayali kua analyse
Uhalisia uliopo ni kwamba, taji la ulaya UEFA CHAMPIONS LEAGUE mara nyingi linafata DNA
kama hujawahi kulichukua ni au kufanya vizuri zaidi ni ngum sana kulibeba
Hivyo basi,
Arsenal leo ana mechi ngum na ATATOLEWA