Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile (wa kwanza kushoto), Mjumbe wa Kamati ya Utendaji TEF, Joseph Kulangwa (katikati) na Kaimu Mtendaji Mkuu wa TEF, William Shao wakiwa msibani kwa aliyekuwa mwanachama wa TEF, Revocatus Makaranga Kimara, Dar es Salaam