Habari ndugu Mwanamafanikio,
Naitwa Edwin Francis Memirieki (EFM).Naandika kuhusu vitu ninavyojifunza na kufanya kila siku:
• Business storytelling
• Subconscious mind
• Habits & systems for success
• Wealth building strategies
• Scholarship opportunities
• Communication skills
• Life philosophy
• Research & business tips
Kama unapenda kujifunza, kufikiri tofauti na kukua kila siku, karibu!
Follow @EdwinMjeru tuendelee kujinoa na kuwa bora katika maisha yetu.
Unlock and live your dream!
“Nataka vijana muwe big thinking, nje ya box. Na inaanza na vitu vidogo vidogo vya kila siku, mfano kwanini kitumbua ni round tu, kwanini hakuna yenye shape ya square”— Ruge Mutahaba.
In 1995, Elon Musk applied for a job at Netscape.
He sent his resume. He even went to their office.
But he was too shy to talk to anyone.
So he went home & started his own company.
31 years later, that shy kid who couldn’t ask for a job became the world’s first trillionaire.
“Nataka vijana muwe big thinking, nje ya box. Na inaanza na vitu vidogo vidogo vya kila siku, mfano kwanini kitumbua ni round tu, kwanini hakuna yenye shape ya square”— Ruge Mutahaba.
Bongo kuhusu deal mtu anakuambia, “Aisee hii achana nayo. sikushauri ufanye(kazi, biashara etc)”. Alafu yeye anaendelea kufanya🙌.
Hivi kwanini🤣. Ni roho mbaya au anakuonea huruma🙌
"Naheshimu wanaofanya hata kama wanakosea mwanzo hauna kinara nawaonaga mabogus wale walio waoga kuanza na kufanya vitu na kubaki kuongelea jambo nje ya uwanja"
GDP per capita is just one metric- you can’t look at it alone and conclude one economy is doing better than the other. Inabidi uangalie na metrics nyingine kama HDI, gini coefficient, etc. See link below for a more detailed comparison: geofactbook.com/compare/tanz…
Aisee, Uganda wametupita TZ kwa per capital income 2026.
Uganda's per capital income ≈ $1,420.
Tanzania per capital income ≈ $1,360.
Kwenu wataalam;
Does this translate kwamba UG Ina uchumi inayokua vizuri (strong economic growth) kuliko TZ?