Business Plan Manager |Turning vision into high-value enterprises๐Ÿ’ต๐Ÿค‘

Joined May 2024
2,194 Photos and videos
Pinned Tweet
1 May 2025
Umeshafikiria kununua gari? Je ni sifa zipi za kuzingatia unapohitaji kununua gari? Nimekuwekea Gari 10 bora za kijapani, kuzingatia mazingira na gharama.
32
42
487
77,351
Eng Jubel retweeted
13 Mar 2025
Time traveller ni nini?โณ Je ni kweli kuna Time traveller ? Nani alishawahi kuthibitisha kuhusu Time traveller? Angalizo story hizi ni kutokana na machapisho mbali mbali.
31
26
160
12,243
Eng Jubel retweeted
19 Mar 2025
Men2men.
3
4
22
16,793
Eng Jubel retweeted
20 Mar 2025
Kua mkweli umetambua brand ipi hapa?
10
6
29
1,317
Eng Jubel retweeted
28 Nov 2024
Katika hali ya kupambana na masoko dhidi ya Land rover kampuni ya TOYOTA miaka ya 1960 iliachia gari aina ya TOYOTA LAND CRUISER 40 series , iliyowapitia ushindani mkubwa sawa washindani wake, Mpaka kufikia miaka ya ya 1980 TOYOTA kuongeza ufanisi wakaja na muendelezo ulio bora zaidi TOYOTA LAND CRUISER 70 series, ambayo imebaki kua icon kwenye game ya Afrika na mazingira ya Australia ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ na baadhi ya nchi.
4
9
146
30,331
Eng Jubel retweeted
24 Apr 2025
Msafara wa raisi wa Marekani๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ (USA President convoy) wanatumia Cadillac Escalade na chevrolet wala sio Toyota Land Cruiser V8 new model ? Leo nataka tuizungumzie Cadillac Escalade
31
48
739
135,834
๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ธ
29
Eng Jubel retweeted
Replying to @EngJubel
Nataman kufany kaz kweny iz machine @EngJubel
1
1
1
49
Eng Jubel retweeted
Creators wengi wanataka kujenga personal brands. Lakini hawako tayari kufanya marketing. โ†’ Hawa post consistently. โ†’ Hawashiriki mawazo, shuhuda, tips. โ†’ Hawaonyeshi expertise mbele ya audience. Ukweli ni kwamba... Usipo onekana huwezi kukumbukwaโ€” show up.
2
4
15
351
Eng Jubel retweeted
Kama una-share valuable contents na watu wanakusikiliza mara kwa mara... Una asset. Asset hiyo inaitwa audience. Creators wengi Tanzania bado hawajatambua kuwa audience ni mtaji.
4
9
23
488
Eng Jubel retweeted
Huku kuna pesa siezi furahisha watu bure ๐Ÿ˜€
2
1
2
62
Jamaa kajenga, kwanini ionekane haiwezekani? Tuacheni utoto na umasikini.๐Ÿค
Mlisema Mbinguni tutajua kila kitu?๐Ÿ˜‚
1
3
439
Hivi hua mnamchukuliaje @nyuki_malkia nyinyi watoto?
Top 10 watumiaji wa Twitter (X) wanaopendwa zaidi kwa sasa (2026) Ukitaka vita na wapwa mguse yoyote hapa ๐Ÿ˜ Namba moja hutaamini Fungua uzi ๐Ÿงต๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ 10. Masoud kipanya
3
8
4,028
Sure am telling you brother, utajiri unatesa.
5
5
33
1,274
Nimefuta namba za EXs wangu wote, ni wakati sasa kuukataa uhuni na kuitwa mume, kuacha kula magengeni, mwisho zaidi kuanza kuulizwa maswali yasiyo na maana.
4
2
12
552
Yesu hakuita maskini kua wanafunzi wake, kila aliyeitwa alikua na shughuli yake ya kiuchumi.
2
125
Tulipokua wadogo kuna wale tulikua tunawaona mabigiiii, wapo waliokua na pesa wapo waliokua walevi, wapo waliofanikiwa kujenga, wapo waliooa. Wale ma bigiii ndiyo wewe wa sasa.
4
2
28
666
Pesa haina matumizi mabaya mzee.
Ukiwa na hela bank, na una hela kwenye mobile money wallet, ipi ni rahisi kuitumia vibaya..? Naomba uzoefu wako ๐Ÿ˜€๐Ÿ™๐Ÿฟ
97
Jana nakunywa safari ya pili namsikia jamaa ananiuliza eti wema ana mtoto? Kmmk hiki kizazi aisee๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ, huyu mtu analalamika hakuna ajira.
109
Eng Jubel retweeted
Jun 13
Huezi sema unapenda mpira na huipendi Brasil , Chama la wana lipo dimbani leo. Mida ya saa saba Joga Bonito ๐Ÿ”ฅ
4
6
31
819
Nilimsikia bro anasema kuna gari ya kuanzia Maisha, kiufupi ukipenda cheap utakua cheap.
6
13
218
12,880