Joined November 2018
54 Photos and videos
7 Dec 2019
Imparting Digital skills to youth #Airtelfursalab #Airtel #dtbi
1
7 Dec 2019
Youth needs Digital skills early so that they can use for future use and become young innovators using digital solution. Airtel and Dtbi provide a chance for youth to get digital skills under Airtel fursa lab. #Airtel #Dtbi
19 Nov 2019
1
19 Nov 2019
Airtel na Dtbi wanawaharika vijana wote waliomaliza kidato cha nne na wengine wote zaidi wanawake wanapewa kipaumbele kushiriki mafunzo haya, na mafunzo yataanza tarehe 2/12/2019.Tembelea tovuti hii, teknohama.or.tz kujisajili au piga simu namba 0682 444 449 kwa maelezo
1
1 Oct 2019
JIFUNZE TEHAMA
2
1 Oct 2019
JIFUNZE TEHAMA
2
1 Oct 2019
Airtel na Dtbi wanatoa fursa ya kujifunza masomo ya KOMPYUTA , UBUNIFU NA UJASILIAMALI kwa watu wote na vijana. Mafunzo haya yataanza rasmi siku ya jumatatu ya tarehe 7/102019 kwa muda wa wiki nne kila siku kuanzia jumatatu mpaka ijumaa. Fursa hii siyo ya kukosa a , Jisajili saa.
25 Sep 2019
JIFUNZE TEHAMA
25 Sep 2019
Airtel na Dtbi wanakupa fursa ya kujifunza masomo ya TEHAM. Kwa maelezo zaidi piga simu 0682444449
25 Sep 2019
Teknolojia imekuwa na msaada mkubwa kwa makundi mbali mbali ya vijana na wajasiliamali katika shughuli zao, Airtel na Dtbi wanaendelea kuwawezesha vijana zaidi kutumia kompyuta katika shughuli zao. Kuweza kushiriki mafunzo haya piga simu 0682444449 #AirtelDtbifursa lab
1
25 Sep 2019
Mafunzo Kompyuta , ujasiliamali na ubunifu kwa vijana na wajasiliamali wote kupitia Airtel fursa lab iliyopo kijitonyama shule ya msingi. Karibu ujisajili kupata mafunzo haya na kwa maelezo zaidi piga simu 0682444449. #airtel #Dtbi wanakuwezesha
24 Sep 2019
Wahitimu wetu Wajasiliamali wanahitaji kujifunza namna ya kutumia teknolojia kwa ufasaha ili waweze kutumia katika shughuli zao za kibiashara ikiwamo kutumia namna ya kidigitali kuhifadhi kumbukumbu na kutumia teknolojia kukuza biashara zao ikiwamo mitandao ya kijamii.
1
2
24 Sep 2019
fursa_lab Coding Class. Our student making a game using scratch program. #Airtel #Dtbi
1
24 Sep 2019
Juniors In Tch Airtel fursa lab #Airtel #Dtbi
1
24 Sep 2019
Kujifunza TEHAM kwa wanafunzi ni kitu muhimu kwa Dunia ya sasa ambayo imejaa mambo ya Teknolojia , hii itawajenga vijana hawa wadogo kutumia teknolojia kutatua changamoto mbali mbali katika jamii. Airtel fursa lab inakuwezesha kumjenga katika mambo ya kompyuta
1
24 Sep 2019
Kids need to be inspired since they are young so that they can learn technology in simple way and use it in future plan. Airtel fursa lab provide a opportunity for the kids to learn technology since they are young , welcome Airtle fursa lab to discover your potential.
1
24 Sep 2019
Do have business idea ?? And you want to learn how to design a creative logo design fron your idea ,welcome airtel fursa lab this saturday . Logo design and Tshirt printing
1
4
16 Sep 2019
Teknolojia imekuwa na msaada mkubwa katika kutatua changamoto mbali mbali katika jamii. Msajili mtoto wako kwa kutuma jina kamili , shule na umri aweze kujisajili kujifunza juu ya kutengeneza programu za kiubunifu. Airtel Fursa lab inakuwezesha . Piga simu 0682444449.
11 Sep 2019
See this Instagram photo by @michaelthomas569 instagram.com/p/B2MtOlhBmL9/…

1
9 Sep 2019
Airtel and Dtbi under Fursa Lab pressents to you COMPUTER SKILLS WORKSHOP Apply to participate the next coming workshop at Airtel Fursa lab Kijitonyama school This Saturday 14th September 2019.
2
1
3