Joined April 2018
194 Photos and videos
Duniani wajinga ni wengi sana aise!!🙌🏾
ये हैं दौलतगिरी जी महाराज। 12 साल की खड़ी तपस्या... जिसमें से 5 साल पूरे हो चुके हैं। जहाँ एक सामान्य इंसान 12 घंटे भी खड़ा रह पाना मुश्किल समझता है, वहाँ ये महात्मा 12 साल से बिना रुके, बिना बैठे, बिना लेटे... सिर्फ खड़े-खड़े भगवान का स्मरण कर रहे हैं। पूरा थ्रेड पढ़ें 1/2
14
Gellar retweeted
Replying to @iam_smx
*trillioniare
12,815
18,852
219,682
17,496,833
Gellar retweeted
The World Cup begins tomorrow, and many will watch the matches. Soccer reminds us of something we must not forget: life is not a race to show off on our own, but a path we learn to walk together. Anyone who does not know how to pass the ball, even if they have talent, has not yet understood the game. Anyone who does not know how to live with and for others has not yet understood life. #ApostolicJourney
1,524
15,262
102,003
5,481,736
What a sublime architectural genius Antoni Gaudí was! This Basilica de la Sagrada Família stands as a monument to imagination and faith 🙌🏾 #BasilicadelaSagrada🙌🏾
1
443
Gellar retweeted
Kama sio chako, usibebe, Kama sio sawa, usifanye, Kama sio kweli, usiseme, Kama hujui, kaa kimya.
13
39
117
2,754
Gellar retweeted
Replying to @GellarJr
You’ve always been a brother since day one my guy 🫶
1
2
3
587
These dreams float through the darkness, whispering their presence.✌🏾💪🏾
1
16
INDOMITABLE✌🏾💪🏾💪🏾
2
5
243
Gellar retweeted
The @StateDept is designating Tanzanian Police Force Senior Assistant Commissioner Faustine Jackson Mafwele for involvement in gross violations of human rights.
295
1,804
4,526
374,877
Gellar retweeted
On my way to Beijing in Air Force One
41,655
42,264
728,467
97,001,482
Gellar retweeted
Ni Tanzania pekee ambako serikali inaipa serikali tuzo.
19
15
157
12,078
Something doesn't sit right with my mind ni Lissu kuendelea kukaa Jela kwa kesi ya kihuni Hadi mwaka na miez sasa..! It's so pitifully mazee🤔🥲🥲#BeStrongLissu #FreeLissu
5
96
My prayers to my father Tundu A Lissu, hata hili tutashinda🤍
8
84
493
7,513
Gellar retweeted
A baby was photographed with her mother, grandmother, great-grandmother, great-great grandmother, great-great-great grandmother 🤯
615
1,928
27,734
3,106,199
Gellar retweeted
Ah????
772
2,668
25,955
988,575
Gellar retweeted
Opposition politicians are behind bars. The media remain muzzled. Outsiders are unlikely to help. A pall of fear hangs over Tanzania. Samia Suluhu Hassan is taking her country down a ruinous road economist.com/leaders/2026/0…
56
372
681
49,509
Gellar retweeted
Fursa nyingi zinaendana na Umri. Kila umri unavyoenda ndivyo baadhi ya Fursa zinapotea. Kijana lazima uhangaike kuzisaka Fursa zinazoendana na Umri wako kabla hazijakutupa mkono. Kuna umri Ukiamua kuwa hata Bodaboda watu watakushangaa!
2
7
28
1,629
Gellar retweeted
Jana niliandika ujumbe nikikosoa kitendo cha Mzee MBOWE kumuombea msamaha SABAYA. Nimepata maoni mengi; wengine wakisema sikuwa sawa. Ipo hivi. Kuna mambo katika siasa hayawezi kufutwa na maneno laini na mepesi ya “msamaha,” hususani msamaha usiotoka kwa mtenda dhambi mwenyewe. Utawala wa SABAYA katika wilaya ya Hai haukuwa wa kisiasa tu; ulikuwa ni utawala wa chuma na ukatili uliopitiliza. Hata Mzee MBOWE anafahamu hilo. Makosa ya uhujumu uchumi na unyang’anyi wa kutumia silaha (armed robbery) yaliyomfunga gerezani wakati ule, ni tone dogo sana katika bahari ya unyama wake. Wapo watu walitekwa, kuteswa, na kuachwa na vilema vya kudumu. Kusema mtu huyu anastahili msamaha bila toba ya dhati kwa wahanga, si tu ni kosa, ni dhihaka. Miongoni mwa wahanga wa genge la SABAYA ni ndugu yetu Simon MNYAMPANDA, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Hai. Ndugu yetu aliteswa. Simon Mnyampanda aliteswa kwa umeme. Ameeleza wazi kwamba, alihojiwa kuhusu mahusiano yake na Mzee MBOWE. Mwisho, alipigwa misumari ya miguu. Huyu ni mtu aliyepata mateso hayo akimlinda Mzee MBOWE na CHADEMA. Leo Mzee MBOWE anajigeuza kadinali na kumuombea msamaha mtesaji SABAYA? Genge hilo halikuishia hapo. Genge hilo lilikuwa kama MAHARAMIA. Walivamia nyumbani kwa mgombea udiwani wa kata ya Narumu katika jimbo la Hai. Baada ya kumkosa, walitoa adhabu ya kinyama kwa watu waliokuwepo nyumbami kwa kuwakata masikio na sehemu nyingine. Nyumba nzima ilitapakaa damu. Hawa ni binadamu, si takwimu za kisiasa. Hawa watu waliotendewa mambo hayo wapo. Baadhi ya ushahidi wa masuala hayo nimeambatanisha katika makala hii. Inasikitisha kuona Mzee Mbowe anatumia mateso ya wafuasi wake kama mtaji wa kisiasa (political capital). Binafsi nimejiuliza maswali mengi tangu hiyo jana. Je, wahanga wameombwa msamaha na kufidiwa? Je, mateso yao yamekuwa ngazi ya makubaliano ya kisiasa? Hii si dharau kwa wale walioteswa wakikupigania? Sabaya anapaswa kuomba msamaha kwa waathirika, si kuombewa. Vinginevyo, hii ni michezo ya kumtengenezea mazingira ya kupata uteuzi katika Serikali ya CCM. Watu wa Hai hawajasahau. Damu na machozi ya wahanga bado vinadai haki. Msamaha bila toba ni baraka kwa ukatili mwingine ujao. Haki kwanza, msamaha baadaye. Binafsi, nilimheshimu Mzee Mbowe kiasi cha kumpa mwanangu wa tatu jina la “Freeman”. Leo hii, nahisi usaliti mkubwa moyoni mwangu kwa mambo hayo. Kunyamaza mbele ya usaliti huu si busara, bali ni upumbavu ambao kesho utatunyong’onyesha. Nimeandika ili kulinda hadhi ya jina la mwanangu. Siku mtoto wangu akiniuliza, nitamjibu kwa utimamu kabisa. “Nilitetea maana halisi ya ‘Freeman’ wakati jina hilo lilipotaka kuchafuliwa na siasa za kimaslahi.”
174
432
1,623
71,049
Gellar retweeted
Your first day in heaven who you going to look for?
3,781
456
6,715
1,150,957
Gellar retweeted
Mimi ni mwanademokrasia na mpenda mabadiliko lakini kuna muda Nikiangalia post za wanaharakati, unaona kabisa hawana uelewa na siasa za Dunia au hawajajifunza kutokana na historia. Ni hivi, Kama watanzania tunataka mabadiliko au katiba mpya basi tuendelee kushikana mashati mpka ipatikane Kama kenya na nchi zingine. Haya mawazo ya kuomba eti kiranja wa Dunia aje kufanya mapinduzi, hayana tija. Jumuia ya kimataifa wala haijali kuhusu maisha yetu as long as wao wanapata maslahi yao. Angalia kilichotokea Venezuela. Walidai lengo ni kuleta demokrasia lakini baada ya kumkamata Maduro na kuhaikishiwa Mafuta na Raisi mpya wakaondoka. Wale wote waliongia mtaani kushangilia, wakawekwa ndani na serikali ile ile. Imagine Kiranja wa Dunia aje amkamate Samia afu amuache Nchimbi huku akila dili nono za madini. Sisi tumefaidika nini hapo? Si CCM ile ile? Wakija watu kufanya mapinduzi chini kwako it means wanatumia resources kufanya hiyo kazi. Hizo resources lazima mzitapike na rasilimali zenu. Tena mara nyingi wanaweka kiongozi kimeo kabisa ambaye watamtumia vizuri. Hata Iran, kuna kauli zinatolewa unaona kabisa lengo sio kuleta demokrasia. Demokrasia ikija Iran, wao watafaidika nini? Look around africa. Viongozi wanafikisha miaka 40 madarakani. Hizo jumuiya zinawapongeza kila uchaguzi na balozi zao bado zipo kwenye nchi husika. Angalia demokrasia ilivyolazimishwa nchi za kiarabu kwa miaka mingi, leo Marekani wameondoka nchi husika, Wamerudi kulekule or even worse. Mabadiliko ya kweli lazima yatokee ndani sio nje.
25
25
105
5,854