WORLD CUP 2026: Timu ya Taifa ya Ujerumani imeanza kwa kishindo ushiriki wake katika Michuano ya Kombe la Dunia 2026 kwa kupata ushindi mnono wa Magoli 7-1 katika mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi Curacao.
Zaidi tembelea jamii.app/UjerumaniKombeDuni…#JamiiForums#JFSports#JFWorldCup2026
MWANZA: Mei 24, 2026, kupitia Fichua Uovu ndani ya JamiiForums.com, Mdau alitoa hoja hiyo na kueleza kuwa Mkandarasi raia wa Kichina hajatimiza majukumu hayo tangu Septemba 2025, akidai wapo Wafanyakazi wa Soko la Kirumba walioachishwa kazi wameondoka bila stahiki zao hizo, hivyo ana hofu itawakuta na wao pia.
Zaidi jamii.app/SokoLaKirumba#JamiiForums#Uwajibikaji#JFMdau2026
Mdau anauliza, je, Wasanii wengine wanatumia ipasavyo majukwaa na ushawishi wao kupaza sauti na kudai uwajibikaji katika jamii kama alivyofanya Davido?
Mjadala huu unaendelea jamii.app/DavishoMajinaWalio…#JamiiForums#JFEntertainment
Kupitia Jukwaa la Fichua Uovu ndani ya JamiiForums.com, Mdau ameandika, “Kama hatua hazitachukuliwa haraka, Kiwanja chetu Namba 42 kitabebwa kwa msaada wa Watumishi wachache wasio waaminifu wa Idara ya Ardhi ya Jiji la Dodoma.”
Ameongeza, “Ujumbe huu uwafikie viongozi wa juu Serikalini, tumeshindwa kuweka Wakili sababu wanatutajia kiasi tusichoweza kuwalipa, pia tunaoshindana nao wameshika mpini, sisi tumeshika makali.”
Fuatilia zaidi jamii.app/MalalamikoArdhiKik…#JamiiForums#Uwajibikaji#JFMdau2026#UtawalaBora
Taarifa ya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (#TEMESA) imebainisha kuwa mwongozo wao haujaelekeza kiwango na malipo ya mazingira hatarishi (risk allowance) kwa Watumishi wao kwenye Vivuko, bali hulipwa kupitia Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (Workers Compensation Fund) endapo ajali itatokea kazini.
Fuatilia zaidi jamii.app/TEMESAJuni2026#JamiiForums#Uwajibikaji#JFMdau2026
Nawe pia unaweza kuwasilisha KERO yako kupitia FuchuaUovu ndani ya JamiiForums.com📌
Je, hii itaongeza wepesi kwa wafanyabiashara kutoa risiti za EFD wanapouza bidhaa?
Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Omar amesema hayo wakati akiwasilisha mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27, Juni 11, 2026.
Fuatilia zaidi jamii.app/AppTRA#JamiiForums#BajetiKuu2026#Governance