Shauku ya mtu katika mambo ya kiroho ndiyo huwa inaamua ukuaji wake na viwango vikubwa vya kiroho. Hudhuria semina za watumishi wenye maarifa makubwa ya kiroho, sikiliza wahubiri wa ndani na nje kwa bidii, soma neno, takafari, omba kwa bidii. Hataubaki kama ulivyo.
Umebarikiwa