Mpaka tunafikia leo kuelekea kwenye international break Mchezaji Hatari ni VINI JR,kipa Bora DAVID RAYA,mshambuliaji hatari ni IGOR THIAGO,Mchezaji Bora kwa madogo wote MAX DOWMAN,Timu Mbovu ni MAN U,mbovu kabisa TOTTENHAM,Kocha Bora ni FABREGAS timu Bora ni ARSENAL (unabisha?)