Financial literacy ni muhimu sana kuanza kufundishwa kuanzia shule za msingi. Just imagine kijana ana make deal anapata 1 Billion Tsh , ananunua G Wagon 700M na so other liabilities. Mwingine , the same amount of money ananua hisa/bond , let’s say appreciation yake ni 12% kwa mwaka compounding interest. Baada ya Miaka 5 , G Wagon itakuwa imeshuka value kwa asilimia 60% up to 70 % wakati huo aliyefanya investment itakuwa na ongezeko la the same 60 /70 % or more , mmoja pesa yake ilikuwa inaongezeka na mwingine alikuwa anazunguka na gari kuishusha thamani maeneo ya Masaki na Mlimani City.
Haya mawazo yamekuwa serious this morning , kwani kuna siku nilinunua kuku nimchinje , mambo yakawa mengi nikasema nitamchinja siku moja, nikamuacha , sasa akataga, akatotoa na vifaranga , sasa sio kuku mmoja tena , wkt natafakari nikaona chupa ya perfume kwenye dustbin , nikasema unajua hii perfume thamani yake that day ningenunua kuku 33. Anyway naaminI ktk maisha bora na mazuri , lakini our obstacles sometimes ni ktk FINANCIAL LITERACY. Tufikirie Pamoja. Nafikiri Reforms Zinahitajika pia zaidi ktk mindset zetu.