Ndugu FRANK RUHASHA ni kijana MWEREVU, MAKINI na MAHIRI ambaye Wilaya ya BUHIGWE inajivunia sana. Ni matumaini yangu kuwa ataendelea kuwa SAUTI na TUMAINI la wote wanaodhulumiwa HAKI zao.
NIMEKUBALI:
Baada ya KUOMBWA SANA nitoe Msaada wa KISHERIA na FEDHA kwa WANAFUNZI 17 π ambao wanatuhumiwa βKUGHUSHIβ MKOPO WA ELIMU YA JUU, napenda kuufahamisha umma kwamba; kama MNYAMWEZI, NIMEKUBALI kuubeba MZIGO huo ili WANAFUNZI hao WARUDI SHULENI KUPATA ELIMU.
Hongera sana Mheshimiwa Rais SAMIA SULUHU HASSAN kwa kupewa TUZO MAALUM π wakati wa Maadhimisho ya MIAKA 60 YA BENKI KUU YA TANZANIA. Mama, CHAPA KAZI, TUZO zinakufuata zenyewe kwa sababu UNASTAHILI.
Ushirikiano wetu na nchi za MASHARIKI (Eastern Block) ni wa KIHISTORIA na IMARA SANA. Sasa, ni zamu ya SLOVAKIA π. Sisi ni NCHI HURU ambayo HATUCHAGULIWI nchi ya kushirikiana nayo. HATUFUNGAMANI na upande wowote. Hata POLAND pia, wanaweza KUWEKEZA Tanzania.
Mheshimiwa Rais DAKTARI SAMIA SULUHU HASSAN akijadiliana jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) CAMILIUS WAMBURA katika moja ya SHEREHE za Jeshi la Polisi, Kurasini, Dar es Salaam.
Falsafa hiyo π itakuwa na MAANA na UMUHIMU kwa watanzania, ikiwa tu watu wote WALIOBAMBIKIWA KESI, WATAACHIWA HURU bila msharti yoyote. βKAZI NA UTU, TUNASONGA MBELEβ.
Unapokuwa JAJI MKUU (Mstaafu) inapobidi KUANDAMANA kwa maslahi ya HAKI za watu, fanya hivyo π. Kuna nchi nyingine, unakuta JAJI MKUU (Mstaafu) ni CHAWA. Kwa kweli KENYA WAPO MBALI SANA.
MTIKISIKO WA KIDUNIA;
Jana kuna rafiki yangu aliyepo UJERUMANI alinipigia simu na kuniambia yafuatayo; βMadeleka, hata UJERUMANI IMETIKISIKA kwa ZIARA ya Rais wenu aliyoifanya nchini URUSI. Tumesikia FURSA NYINGI ZILIZOPO TANZANIA.β