A good heart atract blessing. ||SimbaSCTanzania & ManUtd ||

Joined November 2025
531 Photos and videos
Pinned Tweet
Usimdharau aliyechelewa anaweza kuja na ulichokisahau.๐Ÿ“Œ
13
134
578
11,517
Huyu MESSI ni sio kiumbe wa hii dunia tunayo ishi, avuliwe hicho kinyago..๐Ÿ™Œ
5
25
Si tulikubaliana Wedi Cup inaanza leo saa 2 usiku, imekuaje tena?? ๐Ÿ˜ฉ
2
28
Nyie ambao hamfatili mpira, kipindi kama hiki hua mnafanya nini sasa eti..?? ๐Ÿ˜‚
1
1
5
190
Lammine Yamal ana mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu fundi.๐Ÿ™Œ
8
8
39
741
PaschalSam1 retweeted
Hawa @twenderide wamepakiza Mbeya na Iringa tuu
2
8
758
PaschalSam1 retweeted
Swali muhimu kwa viongozi, sekta binafsi na jamii ni hili: Je, tunajenga mifumo inayowezesha watu wenye ulemavu kushindana kwa usawa, au bado tunawataka washinde katika mazingira yasiyo sawa? #UlemavuSioKizuizi @TAMWA_Zanzibar
6
24
882
PaschalSam1 retweeted
Mara nyingi watu wenye ulemavu hukabili changamoto mbili kwa wakati mmoja, vikwazo vya kimazingira na mitazamo hasi ya jamii. Kubadili fikra kunaweza kuwa hatua ya kwanza ya kubadili maisha. #UlemavuSioKizuizi @TAMWA_Zanzibar
2
13
562
PaschalSam1 retweeted
Demokrasia inakuwa imara zaidi pale ambapo kila sauti inaweza kusikika. Upatikanaji wa taarifa, vituo vya kupigia kura na michakato ya kisiasa kwa watu wenye ulemavu ni msingi wa usawa wa kiraia. #UlemavuSioKizuizi @TAMWA_Zanzibar
2
9
362
PaschalSam1 retweeted
Chochote akili inachoweza kubuni /kutunga na kukiamini, inaweza kukifanikisha. Mtazamo wako ndiyo zana yenye nguvu zaidi. Kama unaacha kujitilia shaka kukutawale, kutakuzuia usichukue hatua unazotakiwa kuchukua ili ufanikiwe. Jiamini na amini katika uwezo wako!
5
8
20
344
Huyu Dada kaona kwenye Wallet yangu kuna wekundu wa Msimbazi si kaniomba namba nimemwambia sina simu usafiri wa kushare changamoto Next time nitarikwesti na Twende ride aisee.!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
16
17
107
5,267
#AD Wanangu Mkeka huu hapa una Odds 16 za uhakika kutoka Vunjabei Bet. ENGLAND โœ… GHANA. โœ… COLOMBIA. โœ… ARGENTINAโœ… PORTUGAL โœ… FRANCE โœ… Kuweka Mkeka wako VunjaBei Bet Gusa link hii: vunjabeibet.co.tz/tz/betslipโ€ฆ #TunaondokaNaVunjaBeiBet
4
12
17
1,549
PaschalSam1 retweeted
Wakuu nauza samaki. Msinisahau wakuu ๐Ÿ™๐Ÿผ 0762344677
2
35
32
655
PaschalSam1 retweeted
Panel Discussion: The Rise of African Data Centers and Cloud Infrastructure: Building the backbone of the Digital Economy. #AITF2026 #AfricaInnovationAndTechnologyForum @MediaConvergecy
6
7
245
Kwa Jicho la nyama unavyowaona hawa wote kuna mwanasoka โšฝ๏ธhapa au tumepigwa? ๐Ÿ˜ƒ Tazama Full CRDB Bank Federation Cup Podcast hapa: youtu.be/PcGYnG8G89k?si=ftvyโ€ฆ #crdbbankfederationcup2026 #bolikiushindani
2
12
22
768
Kupitia @miracleboytz sasa nitakua naweka bidhaa zangu pale @Nisapoti_Africa Karibu kununua na kuweka oda Lakini pia unaweza kuchangia chochote kwenye ndoto na malengo yangu kupitia link hii nisapoti.com/hunaiya
2
25
32
486
PaschalSam1 retweeted
Simu mkononi mwa kijana wa leo ni zaidi ya kifaa cha mawasiliano. Inaweza kuwa darasa la kujifunzia, ofisi ya kufanya kazi, soko la kuuza bidhaa au jukwaa la kujenga biashara. Tofauti si simu uliyonayo, bali namna unavyoitumia. #AITF2026 @MediaConvergecy
11
13
364
PaschalSam1 retweeted
Tunapojenga uchumi wa kidijitali, ni muhimu kuhakikisha kuwa gharama za kutumia huduma za kidijitali haziwi kikwazo kwa ubunifu, ukuaji wa biashara na ushiriki wa wananchi. Teknolojia inaleta matokeo makubwa zaidi pale inapokuwa nafuu, jumuishi na inayofikika kwa wote. #AITF2026
4
8
199
PaschalSam1 retweeted
โ€œEven with substantial capital, startup investment is possible at any scale from $1,000 to $1 billion if asset definitions are clear and transactions are properly structured. The key is creating a framework that enables deals to close successfully.โ€ โ€” Zahoro Muhaji #AITF2026
2
4
153
PaschalSam1 retweeted
In Tanzania, startup investment can happen at any scale from $1,000 to $1 billion. What matters is clear asset definitions, proper deal structures and an enabling ecosystem that turns investor interest into successful transactions.โ€ Zahoro Muhaji #AITF2026
4
8
248