Joined February 2015
8,632 Photos and videos
One Sister retweeted
Tanzania's economic transformation requires strategic planning. The 2026/2027 National Budget provides that direction.
5
5
23
One Sister retweeted
Tanzania 2026/2027 National budget prioritize production and investment,it is a budget that creates opportunities. Tanzania is moving in the right direction.
5
7
37
One Sister retweeted
Supporting manufacturing and local production is exactly what Tanzania needs. More factories mean more jobs and more opportunities for young people, the National budget 2026/2027 has met our expectations greatly.
5
5
34
One Sister retweeted
Bajeti ya Taifa 2026/2027 inalenga kuongeza ajira kupitia viwanda, kilimo, biashara na huduma za kidijitali. Hii ni habari njema kwa vijana wa Tanzania.
1
7
6
51
One Sister retweeted
I like how the 2026/2027 National Budget focuses on expanding production instead of just consumption. Tanzania is investing in long-term growth and jobs.
1
9
7
81
One Sister retweeted
The 2026/2027 National Budget shows that Tanzania is serious about development. Supporting local industries while reducing costs on key industrial inputs is how strong economies are built.
9
7
64
One Sister retweeted
The Tanzania 2026/2027 national budget emphasis on attracting investment while protecting local industry is a balanced approach to development.
12
13
124
One Sister retweeted
Strengthening domestic industries is one of the smartest ways to accelerate development in Tanzania. There is hope in the 2026/2027 National budgetP
13
13
84
One Sister retweeted
Tanzania through its 2026/2027 National budget is creating the conditions for sustainable economic growth by supporting production, innovation, and investment.
10
8
41
One Sister retweeted
kwenye bajeti ya 2026/2027 Serikali imeendelea kupunguza ada na tozo zinazokwamisha biashara. Hii itawasaidia wafanyabiashara wengi wa Tanzania kukua na kuajiri zaidi.
15
12
39
One Sister retweeted
The 2026/2027 Tanzania National budget focus on creating a competitive economy will help Tanzania attract more investment and create more jobs.
2
15
14
70
One Sister retweeted
The fact that the 2026/2027 National Budget is the first budget under Vision 2050 makes it historic. Tanzania is planning for future generations, not just today.
10
10
166
One Sister retweeted
Bajeti ya Taifa 2026/2027 imeonyesha kuwa maendeleo yanajengwa kwa uwekezaji na uzalishaji, si kwa matumizi pekee. Tanzania inaelekea mbele.
1
13
12
57
One Sister retweeted
Magari ya umeme yatapunguziwa ushuru wa forodha, hii ni kwa mujibu wa mapendekezo ya bajeti ya 2026/2027. Tanzania inaonyesha utayari wa kuingia kwenye uchumi wa teknolojia na nishati safi.
12
11
45
One Sister retweeted
Bajeti ya Taifa 2026/2027 imeweka mkazo mkubwa kwenye urasimishaji wa biashara ndogo ndogo. Hii itawapa Watanzania fursa ya mikopo, masoko na bima.
1
12
13
44
One Sister retweeted
Bajeti ya Taifa 2026/2027 inalinda viwanda vya ndani huku ikipunguza kodi kwenye malighafi. Huu ni mkakati wa kuongeza ajira kwa Watanzania.
13
12
51
One Sister retweeted
ABDULLAH MWINYI ATOA MAPENDEKEZO YA NAMNA SERIKALI ITAKAVYOPATA TRILIONI 8-12 KWA MWAKA Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Abdullah Mwinyi, ametoa mapendekezo mbalimbali ya kisera na kikodi ambayo amesema yanaweza kuifanya Serikali kuongeza mapato yake kwa zaidi ya shilingi trilioni 8 kwa mwaka ikiwa yatafanyiwa kazi ipasavyo. Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni leo Jumanne Juni 16, 2026 Mhe. Mwinyi amesema, kuwa pamoja na juhudi kubwa zinazofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), bado Tanzania ina nafasi kubwa ya kuongeza mapato yake kwa kupanua wigo wa walipakodi. Amesema uwiano wa mapato ya Serikali kwa Pato la Taifa (Revenue to GDP Ratio) kwa sasa ni asilimia 13.5, kiwango ambacho ni cha chini ikilinganishwa na wastani wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ambao ni asilimia 16. β€œWataalamu wa uchumi wanatuambia ili tuwe na mfumo wenye ufanisi tunapaswa kufikia angalau asilimia 15, na ili uchumi wetu uwe endelevu na kukua kwa kasi zaidi tunapaswa kufikia asilimia 18,” alisema. Mbunge huyo ameeleza kuwa changamoto siyo TRA kwani kwa miaka mitatu mfululizo imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji wa mapato kwa zaidi ya asilimia 103, bali tatizo kubwa lipo katika idadi ndogo ya walipakodi waliopo kwenye mfumo rasmi. Kwa mujibu wa Mhe. Mwinyi, tafiti zinaonesha kuwa asilimia 45 ya shughuli za kiuchumi nchini bado zipo nje ya mfumo wa kodi huku biashara ndogo na za kati milioni 1.8 zikiwa hazijasajiliwa katika mfumo huo. Amesema wafanyabiashara wengi wamekuwa wakikwepa kuingia kwenye mfumo wa kodi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo viwango vya kodi kuwa vikubwa, ugumu wa utaratibu wa ulipaji kodi pamoja na hatua kali za utekelezaji zinazochukuliwa dhidi yao. β€œTunapaswa kuwa na mfumo wa kodi unaozingatia tofauti kati ya biashara kubwa na biashara ndogo. Tukirahisisha mazingira kwa wafanyabiashara wadogo kuingia kwenye mfumo wa kodi, tutapanua wigo wa walipakodi na kuongeza mapato ya Serikali kwa kiwango kikubwa,” alisema. Mhe. Mwinyi amebainisha kuwa kuingiza biashara ndogo na za kati milioni 1.8 kwenye mfumo rasmi wa kodi kunaweza kuiwezesha Serikali kukusanya kati ya shilingi trilioni 8 hadi trilioni 12 za ziada kila mwaka, fedha ambazo zinaweza kuelekezwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na utoaji wa huduma za kijamii. Aidha, amependekeza kuondolewa kwa kodi inayotozwa kwenye retained profits yaani faida inayobaki ndani ya kampuni kwa ajili ya kuendeleza biashara na uwekezaji wa baadaye. Amesema hapo awali kodi hiyo ilikuwa ikitozwa kwa kiwango cha asilimia 30 lakini katika bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 imepunguzwa hadi asilimia 15, hatua aliyoipongeza huku akisisitiza kuwa kuondolewa kabisa kwa kodi hiyo kutachochea uwekezaji zaidi, kuongeza ajira na kukuza uchumi wa taifa.
4
12
719
A meaningful meeting with Hon. MP Esther Malleko. Your passion, commitment and endeavor to community development are truly impressive. Look forward to working together for local people's well-being!
5
15
27
2,776
One Sister retweeted
π’πˆπŠπ” π˜π€ πŒπ“πŽπ“πŽ 𝐖𝐀 π€π…π‘πˆπŠπ€ Leo tunaadhimisha siku ya mtoto wa Afrika, tukitambua juhudi za Rais Samia Suluhu katika kulinda haki za watoto, kuboresha elimu na afya kwa ajili ya mustakabali bora wa Taifa. #AfricanChild
2
2
46
One Sister retweeted
π’πˆπŠπ” π˜π€ πŒπ“πŽπ“πŽ 𝐖𝐀 π€π…π‘πˆπŠπ€ Leo tunaadhimisha siku ya mtoto wa Afrika, tukitambua juhudi za Rais Samia Suluhu katika kulinda haki za watoto, kuboresha elimu na afya kwa ajili ya mustakabali bora wa Taifa. #AfricanChild
1
5
6
87