Kwa habari na video zenye ubora kwenye simu yako tembelea simutv.vodacom.co.tz, tovuti pekee inayoongoza Tanzania. Furahia muda wowote, mahali popote!

Joined April 2014
7,086 Photos and videos
18 Nov 2017
Wanafunzi wakumbwa na ugonjwa wa ajabu,serikali yaeleza sababu za kusitisha ajira,polisi kuongezewa posho,watoto... fb.me/74H1VS8AZ

1
18 Nov 2017
Bunge launda kamati kuchungza gesi na Uvuvi, wagonjwa watumika kusafirisha unga,muuaji maarufu wa tembo atiwa... fb.me/77HGhvXTc

2
17 Nov 2017
Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amewataka wasaanii nchini kuongeza ubunifu na kutengeneza kazi zenye ubora ili... fb.me/7zJtJJJ6l

17 Nov 2017
Halmashauri ya Mbozi imetajwa kuwa miongoni mwa halmashauri zinazotekeleza mpango wa serikali wa kuhakikisha... fb.me/1MammaUrG

1
17 Nov 2017
Viongozi wa madhehebu ya dini mkoani Mwanza wameiomba serikali kuongeza nguvu katika zoezi la kudhibiti uvuvi... fb.me/93mXUgPdb

3
17 Nov 2017
Jeshi la polisi nchini limepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi bilioni mbili kwa ajili ya... fb.me/2rOLyBpRo

17 Nov 2017
Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imejiwekea malengo ya kuongeza uzalishaji wa zao la pamba ili kuongeza upatikanaji... fb.me/2so37PVpz

17 Nov 2017
Kamati ya haki maadili na madaraka ya bunge imemhoji mbunge wa jimbo la Ubungo Saed Kubenea kwa kosa la kutoa... fb.me/3U8NvERKa

1
6
17 Nov 2017
Kamanda wa kikosi maalumu cha usalama barabarani amesema kuwa ofisi yake imejipanga kutoa elimu ya usalama... fb.me/T0zTI0sm

1
5
17 Nov 2017
Je, serikali ina mpango gani wa kutumia chanzo cha maji cha mto Rufiji kusambaza maji kwa wakazi wa Rufuji? Haya... fb.me/1IOV7r6pQ

17 Nov 2017
Je, ni lini serikali itatoa mikopo kwa wavuvi wadogodo katika kuboresha sekta ya uvuvi hapa nchini Tanzania? Haya... fb.me/1IDPFGH4V

17 Nov 2017
Swali kwa waziri Luhaga Mpina wizara ya mifugo na uvuvi kuhusu serikali kujenga kiwanda cha samaki katika ziwa... fb.me/BfAh6UqN

17 Nov 2017
Swali kwa waziri Mwigulu Nchemba kuhusu ujenzi wa nyumba za askari polisi wa mkoani Tanga katika kuboresha... fb.me/8ZQsABoJW

2
17 Nov 2017
Watetezi wa ligi kuu Tanzania bara Yanga wameendelea kujinoa katika uwanja wa uhuru jijini Dar Es Salaam kabla... fb.me/2hHTcSdyZ

1
17 Nov 2017
Swali la mbunge Lema kwa waziri wa fedha kuhusu serikali kuondo kodi katika vifaa vya ujenzi ili kuwawezesha... fb.me/2o6q6VbzO

17 Nov 2017
Je, serikali ina fikiria nini kuhusu kuandaa miradi ya ujenzi ya barabara katika wilaya ya Igunga? Haya hapa... fb.me/26hekVhPz

3
17 Nov 2017
Mhasibu TAKUKURU ana mali za bilioni 3.6, mbivu, mbichi walioomba uongozi CCM,Mugabe alitunishia misuli... fb.me/BpuCnQHX

1
17 Nov 2017
Tanesco,wizara wapewa siku 30 kubomoa majengo,milionea kwan TAKUKURU apandishwa kizimbani,wakala binafsi wa meli... fb.me/Rbf8kycp

1
2