โ MUSLIM. It is Allah who gives and it is Allah who takes away, simba ๐น๐ฟ& man united ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ & Real Madrid ๐ช๐ธ โ ๏ฃฟ๐ Banter All Time.
Kama Dunia ingekuwa ni yenye kudumu na wakazi wake, Basi angekuwa hai Mtume (s.a.w) wa Mwenyezi Mungu, Na mwenye kubakia (milele).
Lakini hii (Dunia) itafikia mwisho, pamoja na starehe zake.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Milan ina vilabu viwili vikubwa vya soka, AC Milan na Inter Milan. Zote zinashiriki katika kiwango cha juu kabisa cha soka nchini Italia, zinatumia uwanja mmoja wa San Siro, ni watani wa muda mrefu wenye ushindani mkubwa, lakini bado zimeendelea kuwa miongoni mwa vilabu vinavyoheshimika zaidi duniani.
Baadhi ya mafunzo kutoka kwa vilabu hivi viwili vikubwa:
โข Watani wakubwa huifanya kila upande kuwa bora zaidi. Ushindani huinua viwango na kuchochea ubora.
โข Wachezaji, makocha na viongozi hubadilika, lakini taasisi imara hubaki. Klabu lazima iwe kubwa kuliko mtu yeyote.
โข Jenga msingi imara nyumbani, lakini uwe na ndoto na malengo ya dunia nzima. Klabu kubwa hazijiwekei mipaka ya mji au nchi yao pekee.
โข Ubora wa kweli hujengwa kwa vizazi. Unahitaji maono, uvumilivu, uthabiti na uwezo wa kuendeleza msingi uliowekwa na waliotangulia.
Pengine funzo kubwa zaidi ni hili: ushindani unatakiwa kutufanya tuwe bora zaidi hapa nyumbani, lakini maono makubwa yanapaswa kutuunganisha kwenye jukwaa la kimataifa. Kadri vilabu vyetu vinavyoinua viwango, ndivyo tunavyopata fursa kubwa zaidi ya kuonyesha nguvu ya ligi yetu na uwezo wa taifa letu katika viwango vya kimataifa.
#NguvuMoja#football#championship#acmilan#intermilรกn
Unahitaji Bima ya Afya?
Unahitaji ushauri wa kuchagua package inayokufaa?
Unataka kufahamu package mbalimbali zilizopo?
Karibu DM nikusaidie kupata Bima ya Afya inayolingana na mahitaji na bajeti yako.
๐จLeo ushtue umaskini kwa hii ๐๐
Pandisha picha yako Gemini alafu copy prompt kuna sehemu ya kuedit jina na kazi yako.
โUltra-realistic 8K full body portrait of [PERSON], wearing a clean and pressed white social shirt with folded collar and a small lapel microphone, dark navy-blue dress pants and polished brown social shoes. Casually and unpretentiously leaning against a smooth light gray studio wall; hands are in pockets and one leg is crossed over the other, with relaxed and confident body language. Add to the wall next to them a prominent vector portrait in black and white of their face and bust - with sharp lines and angles, overlapping polygonal shapes and a minimalist modern graphic style, right below the information: โFULL NAMEโ, and below the name: โPROFESSIONโ. 3:4 dimension.โ
๐ฃ๏ธ"Simba SC Hatuna Scout,Usajili tunafanya Viongozi wenyewe tukishirikiana na benchi la ufundi"
"Aliyekuwa kwenye nafasi hiyo alikimbia,Alichimba baada ya kuona pamekuwa pamoto"
"If you can't sustain the heat,Just Get out of the kitchen"
-Crencentius Magori
GSM & ENG HERSI(Rais wa Yanga) ambaye pia ni muajiriwa wa GSM
Wakikabidhiana mkataba wa ujenzi wa uwanja wa Yanga ambao Eng.Hersi(mwajiriwa wa GSM) atahakikisha Yanga haidhulumiwi na bosi wake GSM
UTAPELI HAUTAKUJA KUISHA DUNIANI
Mtu anayelipwa 200K akitoa 10K akakupa ametoa 5% ya mshahara wake kukupa wewe.Hiyo inamaanisha kuna siku kama 2 aliamka nyumbani kwake akaenda kazini kufanya kazi kwa ajili yako.Jifunze kuwa mwingi wa shukrani na uthamini jitihada wanazoweka watu kukufurahisha /kuridhisha nafsi
โTumia mambo matano kabla ya mambo matano: ujana wako kabla ya uzee wako, afya yako kabla ya ugonjwa wako, utajiri wako kabla ya umaskini wako, muda wako wa faragha kabla ya shughuli zako, na uhai wako kabla ya kifo chako.โ mtume Muhammad ( S. A. W)
Good morning
Safari Yenye Furaha inaanza pale unapoamua kuwachagua @twenderide.
Bei affordable,Customer care nzurii pia usalama wa hali ya Juu pakua sasa App ya Twenderide tu rikwesti Pamoja!
Wanangu, mna Bima ya Afya? ๐ค
Kama bado huna au unatafuta Bima ya Afya yenye gharama nafuu na huduma bora, nitumie ujumbe wa DM wenye neno โBIMAโ nikuelekeze chaguo linalokufaa.
Afya ni mtaji, jilinde mapema!