App yangu niliyotengeneza kwa kutumia Ai inatoa ajira ya pili ya moja kwa moja sasa, ni kitu ambacho wakati naanza nisingeweza kumwelezea mtu akaelewa.
WebYetu ni yetu sote.
@WebYetu
Kuna kitu kinachonisumbua sana kuhusu biashara za Tanzania.
Unaweza kupita mtaani, kuona duka zuri, chakula kitamu, huduma nzuri...
Ukitafuta Google — HAIPO. 😶
🧵Uzi... 👇