Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Kiboko ya wanaharakati East Africa | Alhamdulillah

Joined June 2019
46,724 Photos and videos
πŸ“Œ Kazi Na Utu Tunasonga Mbele #TanzaniaYetu
1
9
12
9,359
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
πŸ‘‰ Ajali iliyowahusisha wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent mwaka 2017 ni moja ya matukio yaliyoligusa taifa kwa huzuni kubwa. Tukio hilo lilitokea katika Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, na kuacha simanzi isiyoelezeka kwa Watanzania wengi. πŸ‘‰ Wanafunzi hao walikuwa wakisafiri kuelekea kufanya mtihani wa kitaifa walipokumbwa na ajali mbaya ya basi. Safari iliyokuwa imejaa matumaini ya mafanikio ilibadilika ghafla na kuwa majonzi makubwa. πŸ‘‰ Ajali hiyo ilisababisha vifo vya wanafunzi wengi pamoja na walimu na dereva wa basi. Habari hizo zilienea haraka nchini na kuibua mshtuko mkubwa kwa jamii. πŸ‘‰ Wazazi wengi walipokea taarifa hizo kwa maumivu makali, wakikabiliwa na ukweli mchungu wa kupoteza watoto wao waliokuwa wakitegemewa kwa maisha ya baadaye. πŸ‘‰ Taifa zima liliguswa na ndoto zilizokatishwa ghafla. Wanafunzi hao walikuwa sehemu ya kizazi kilichokuwa kikijiandaa kuwa viongozi, wataalamu na watumishi wa kesho. πŸ‘‰ Shule ya Lucky Vincent ilijulikana kwa kuwalea wanafunzi wenye bidii na matumaini makubwa ya kufanikiwa katika elimu. Kupotea kwa maisha hayo kuliacha pengo kubwa kwa shule na jamii kwa ujumla. πŸ‘‰ Katika siku zilizofuata baada ya ajali, viongozi wa serikali, taasisi mbalimbali na wananchi walituma salamu za pole na rambirambi kwa familia zilizopoteza wapendwa wao. πŸ‘‰ Shughuli mbalimbali za maombolezo zilifanyika huku Watanzania wakionesha mshikamano mkubwa katika kipindi hicho kigumu cha majonzi. πŸ‘‰ Tukio hilo lilizua mjadala mpana kuhusu usalama wa usafiri wa wanafunzi na umuhimu wa kuhakikisha vyombo vya usafiri vinakuwa katika hali salama wakati wote. πŸ‘‰ Wengi walitaka kuona hatua madhubuti zikichukuliwa ili kuzuia ajali kama hiyo kutokea tena siku zijazo. Maswali mengi yaliibuka kuhusu mazingira yaliyochangia janga hilo. πŸ‘‰ Picha za majonzi kutoka hospitalini, mashuleni na katika familia mbalimbali ziligusa hisia za watu wengi ndani na nje ya Tanzania. πŸ‘‰ Jumuiya za kidini nazo zilishiriki katika kuwaombea marehemu na kuwafariji walioathirika na tukio hilo. πŸ‘‰ Katika kipindi hicho, taifa lilisimama pamoja kuomboleza na kuwakumbuka watoto hao ambao waliondoka duniani wakiwa bado na ndoto nyingi za kutimiza. πŸ‘‰ Walimu waliopoteza maisha katika ajali hiyo walikumbukwa kwa mchango wao mkubwa katika kuwalea na kuwaelimisha wanafunzi wa Tanzania. πŸ‘‰ Maumivu ya tukio hilo hayakuishia kwa familia pekee, bali yalienea kwa mamilioni ya Watanzania walioliona kama pigo kwa taifa zima. πŸ‘‰kumbukumbu za ajali ya Lucky Vincent bado zinaishi katika mioyo ya wengi. Tukio hilo linaendelea kukumbukwa kila linapotajwa suala la usalama barabarani. πŸ‘‰ Kwa wengi ajali hiyo ilibaki kuwa somo la umuhimu wa tahadhari, uwajibikaji na kuboresha mifumo ya usalama katika sekta ya usafiri. πŸ‘‰Vifo cha wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent mwaka 2017 kinatajwa kama moja ya matukio yaliyoliacha taifa katika majonzi makubwa, yakikumbusha thamani ya maisha na umuhimu wa kulinda usalama wa watoto wetuβœοΈπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
1
4
168
Peace is not weakness it is the foundation of national strength. Tanzania has come this far because of unity stability and mutual respect. Let us protect our peace and continue building a prosperous future together. #PeaceForTanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #UnitedForTanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #ProtectOurPeaceπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #OneNationOneFutureπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #PatriotsForPeaceπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #TanzaniaFirstπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #TogetherForProgressπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #UnityBuildsNationsπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #PeaceDrivesDevelopmentπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #StrongerThroughUnityπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
1
39
Ila Mufti πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Quality ni piru..wewe tu na wifi yako πŸ˜…πŸ˜…, vijana washamsawazisha mkoloni...mkoloni anakufa hii mechi πŸ˜…
3
261
The Cask pamekaa kimkakati unaweza kwenda toilet ukarudi na pisi
3
80
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Mchungaji anataka kunitafutia dhambi za Jumapili! Umeona kikao cha baraza la mawaziri alafu huyui kama Mhe. Katambi kama ni Mhe kweli! Sasa si alikuwa kwenye kikao hiko? According to maono πŸ˜‚ Makanisa yanasajiliwa chini ya wizara ya mambo ya ndani so hujui Waziri wenu ni nani πŸ˜‚.. Alafu wachungaji wanatamani kusikia nini kinadiscusiwa kwenye kikao hiko maaana mara nyingi sana nasikia wanasema nilikuwa kwenye kikao cha Mawaziri πŸ˜‚ πŸ˜‚!! Katiba mpya iwasaidie basi kuwaweka wawe wanaudhuria,!
3
6
885
WAZIRI MKUU: MKATABA WA FEDHA ZA BARABARA YA KITUSHA–KINAMPANDA–KISANA–KISIRIRI UMESHASAINIWA Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mkataba wa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Barabara ya Kitusha–Kinampanda–Kisana–Kisiriri umeshasainiwa, hatua inayofungua njia ya kuanza kwa utekelezaji wa mradi huo unaotarajiwa kubadilisha shughuli za usafiri na uchumi katika maeneo ya Wilaya ya Iramba. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo, Jumapili Juni 14, 2026, wakati akizungumza, kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi wa Tarafa ya Kinampanda katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, Wilaya ya Iramba mkoani Singida. Amesema Serikali imekamilisha hatua muhimu ya upatikanaji wa fedha za mradi huo na kwamba changamoto iliyobaki sasa ni kukamilisha taratibu za kumpata mkandarasi atakayetekeleza ujenzi huo. β€œLeo tunavyoongea, mkataba wa upatikanaji wa fedha umeshasainiwa. Kwa hiyo fedha si tatizo tena. Tunamshukuru sana Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Halmashauri ambao walishuhudia kusainiwa kwa mkataba huo,” amesema Dkt. Mwigulu.
1
3
5
293
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Halafu wanaohamasisha uhalifu huu wao wako Naitobi na USA wanasubiri ruzuku kwa mabeberu Wewe mtoto wa mama Ntilie unatumwa uje uchome shule moto na vyuo vikuu Sasa njoo uchome shule uliwe kichwa na mara hii sio kwa risasi unalliwa kichwa kwa panga kabisa x.com/Baradhuli2/status/2065…

3
2
289
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Sikiliza kwa makini alafu niambie, hapa unataka vyombo vya ulinzi na usalama vikae kuwasubiri? Hawa si wauwaji kabisa na lengo ni lile lile kuchoma nchi. Mlishipaza shingo kumsemea maneno mabaya Jaji Chande, haya mnataka mateja muwape hela ili wakachome soko? Ambako kuna watanzania wanaopambana usiku na mchana, ni biashara ambazo zinaendesha familia dah! Haya hao mateja je mnataka wakikamatwa ili wewe upate nini?
4
6
686
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Jaman huyu chizi anatoka kwetu ndio maana mimi mwenzenu nina uchungu. Haya basi na wewe msaidie mdogo wako hajalipa wafanyakazi wa ndani wale ni watanzania wanatoka kwenye familia dini pambana atleast maisha ya nyumbani kwenu pia yaendelee vizuri. Au Omba watu wakuchangie basi. Wanadai na hata wiki hii iliyoisha siku mbili hawajala wamekuja na kufanya kazi na kuondoka hivi hivi. Ila mna roho mbaya sana, Maria unajua kila siku wafanyakazi wanakula ugali na dagaa Monday to Saturday na ndugu zako ndani wanakula minyama kabisaa.. kama utarudi kukomboa nchi komboa pale nyumbani ndugu yangu matatizo ni mengii!! Mdogo wako ananyanyasa sana wale watanzania mliowaajiri pale,. Wale watanzania pia wanafamilia wanataka kula, na imagine wanakuja kila siku na hamuwapi mshahara kwa wakati na chakula chenyewe mnawapa sawasawa na chakula cha mbwa!! Hii nguvu ya huu uongo lazima unaingiza hela za kutosha, kama unaweza kuwadanganya watanzania kwa kiasi hiki hahah binamu wewe hatarii!
1
7
7
1,286
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Some claim Tanzania is becoming isolated, yet the reality tells a different story. Increased trade, tourism and investment between Tanzania and Europe have led to more direct flights. Brussels Airlines and Air France are connecting directly because the world is connecting to Tanzania.
1
22
21
449
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Air France and Brussels Airlines are responding to market demand created by stronger economic engagement between Tanzania and Europe. The world is connecting to Tanzania.
2
21
21
343
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
TAMASHA LA BULABO 2026 LAFIKIA KILELE KWA KUSISITIZA AMANI NCHINI Jamii imehimizwa kulinda amani nchini kwa kutokubali kushawishika kushiriki vitendo vyovyote vya uvunjivu wa amani. Ikiwa ni kilele cha tamasha la Utamaduni BULABO linalofanyika katika Viwanja vya Ngomeni-Kisesa(REDCROSS) Mkoani Mwanza. Tamasha hili liliwakutanisha Machifu zaidi ya 300 kutoka maeneo mbalimbali nchini na ukanda wa Afrika Mashariki limebeba ujumbe wa "Maridhiano kwa Njia ya Amani Ndiyo Jadi Yetu"
12
13
498
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
TAMASHA LA BULABO 2026 LAFIKIA KILELE KWA KUSISITIZA AMANI NCHINI Jamii imehimizwa kulinda amani nchini kwa kutokubali kushawishika kushiriki vitendo vyovyote vya uvunjivu wa amani. Ikiwa ni kilele cha tamasha la Utamaduni BULABO linalofanyika katika Viwanja vya Ngomeni-Kisesa(REDCROSS) Mkoani Mwanza. Tamasha hili liliwakutanisha Machifu zaidi ya 300 kutoka maeneo mbalimbali nchini na ukanda wa Afrika Mashariki limebeba ujumbe wa "Maridhiano kwa Njia ya Amani Ndiyo Jadi Yetu"
10
11
320
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
MFIKISHIENI HECHE: Vijana wako wa Chama wanafanya vikao vya siri vya kufanya fujo ni either unajua au haujui ila wanafanya, msikatae vitu public wakati sisi wananchi wa chini huku tunaona na mfano waulize viongozi wako 8 wa kigamboni jana walikaa saa moja wakifanya kikao kuelekea maandamano aliwatuma nani? Ubaya sasa wanatumia bodaboda na sio bodaboda wote wanapenda amani kutoweka. Jana usiku saa moja - kigamboni Gezaulore. Haya maandamano mnayajua, na hayana jema hata kwenye mitandao tunayasikia hivyo msiwake sana Kama mnaonewa.
16
12
19
2,437
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Angalia na ujifunze Namna ya kuitunza amani kutoka kwa Ezakia pius mkazi wa kisesa Mwanza Vijana wasisitiza umuhimu wa amani na utulivu nchini.
15
18
249
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ retweeted
Kwa kifupi, mauzo ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda nchi za Ulaya yaliongezeka kwa 16.7%, kutoka dola bilioni 9.25 hadi dola bilioni 10.80. Tanzania inaingiza fedha nyingi kuliko misaada ambayo Bunge la Ulaya wanataka kuizuia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3
19
17
601