Aina tano (5) za SURUALI ambazo mshkaji hutakiwi kuzikosa,
Kumbuka Mavazi yana kutambulisha hata kabla hujasema chochote,
Muonekano wako, utarahisisha baadhi ya mambo au kufanya baadhi ya mambo kuwa magumu.
Cheki na hizi 5 🔥🔥🔥🔥🔥
#Uzi👇
1. Official/ formal pant
Maisha yako ni safari ya mchakato.
Lazima uweke ushahidi wa unachokifanya - Consistency.
Lazima uweke ushahidi kwamba unaweza kufanya unachokifanya -Experience.
Ukithibitisha hilo, ni rahisi sana kukua kwenye unachofanya.
Uishi MCHAKATO.
Aisee kuna kitu kinashangaza sana kwenye MAPENZI
kuna Dada mmoja nilinunua nae kiwanja sehem moja dom yeye alijenga nakuhamia,hajaolewa bdo hivi majuzi alinipgia kua anashida san ya 800k hana msaada zaidi yangu (tunajuana) basi nikamwambia kiukweli siko vizuri ngoja ila
09:15 su, Jul 23
Do good and always good will comes to you!
//
Fanya mema na siku zote mema yatakujia!
Nilipata kusoma hadithi flani, katika kitabu kimoja.
Kulikuwapo na tajiri mmoja, aliyekuwa na mashamba na mali nyingi,
Sometimes ni Bora ukae sehemu ya mateso na ugumu ukipambania ndoto zako, kuliko kuwa sehemu ya starehe na burudani huku ukitimiza ndoto za wengine!
*Ndege Hutumia Mafuta mengi Sana ikiwa inajipanga kuruka tu, baada ya hapo No Biggie! 🚀
Tabia ambazo mwanaume anapaswa kuziacha:
•Uvutaji sigara
•Matumizi ya dawa za kulevya
•Uzinzi
•Ulevi kupita kiasi
•Kujichua (masturbation ya kupindukia)
•Simping (kujishusha kwa mwanamke kupita kiasi)
•Uvivu
•Hasira na ukatili usio na sababu
•Uchawa
Mtaani kuna Aina za watu hawa!
1. Yule jamaa angesoma sijui angekuwaje, Yuko smart Sana na mambo yake anayaendesha kisomi.
2. Yule jamaa kama vile hakwenda shule vile- Yani mambo anayofanya ya kujua mwenyewe, sijui asingesoma ingekuwaje
Epuka kuwa namba 2
#Firstmate