U S H U N U Z I

Joined May 2009
2,208 Photos and videos
Christian Bwaya retweeted
Nasikia wewe @bwaya na mkufunzi mwenzako @EduTalkTz mnakubaliana na hii ripoti kuhusu “tija”, hamtaki tena vyuo vyetu vitoe hizo kozi za ‘kingwini’; mnataka wanavyuo wafundwe kuunda vitu hasa kwa kutumia akili unde/akili ige. insidehighered.com/news/facu…
1
1
2
678
Christian Bwaya retweeted
Siku nyingine ya kukumbushana kuwa.. Ukiona mtoto Hana amani, au hayuko tu comfortable mbele ya mjomba/shagazi/jirani/mwalimu etc ni vizuri ukamuuliza ni Kwa sababu gani. Watoto wanakosa amani/furaha baada ya kunyanyaswa ama kuonewa. Some wanapitia even worse scenarios.
4
20
58
2,170
Umasikini ni kishikizo kikubwa cha mahusiano mengi. Ukishatatua tatizo la umasikini wa kipato watu wengi wanagundua kumbe wanaweza kuwa ‘single and happy.’
6
27
105
2,930
Barua hizi nimezisoma juzi hapa. Aisee zimenipa hisia za mwombolezaji anayehudhuria msiba wa mtu muhimu anayeitwa Azimio, aliyeuawa na wanasiasa wenye hasira kali na msimamo wake kupambania maslahi yao. Pale kaburini, wasifu wake unasomwa kwa majonzi mazito na kila mwombolezaji wakiwamo hata wasiomfahamu Marehemu enzi za uhai wake wanaangua kilio wakitafakari kosa hasa la Marehemu lilikuwa nini? Nchi hii, kwa hakika, imebarikiwa wasomi mahiri wanaojua kutumia vizuri kalamu zao kuchambua siasa za ‘ombwe’ na matokeo yake kwenye maisha ya watu. Kinamfaa kila anayetamani kuona siasa zinazosheheni itikadi, utu na mwelekeo unaolinda maslahi ya wengi. Hongera sana Prof Issa Shivji na @MkukiNaNyota kwa kazi nzuri sana.
12
36
1,409
Christian Bwaya retweeted
10
24
3,935
Christian Bwaya retweeted
Si wengi wanaweza kukufikiria bila kujifikiria wao kwanza. Unafikiriwa zaidi unapohitajika, unapokwamisha, unapofanikisha na wakati mwingine kama sehemu ya mipango ya watu.
1
17
41
976
Christian Bwaya retweeted
Kuna watu unawasiliana nao kwa karibu sana kwa vile mnafanya kazi pamoja na mnakutana mara kwa mara. Ukihama sehemu inayowakutanisha mnabaki kuwa ‘strangers.’ Wengine mnawasiliana kwa ukaribu sana maana kuna tatizo fulani linawaunganisha. Tatizo hilo likitatuliwa mnabaki watu mnaofahamiana msio na mengi ya kuzungumzia. Wengine mko karibu maana mnaamini kitu kinachofanana. Saa nyingine hata sio imani ni watu tu mnaochangia hofu na wasiwasi wa kisichofahamika. Ukiwa huru kidogo kwa mawazo ukaweza kutofautiana na mtazamo tofauti, unakuwa ‘stranger’ kwa watu wengi wa hivi. Wakati mwingine, hata kile kinachoitwa mapenzi kina kinaenda kwa kanuni ile ile. Kinganishi ni shida za angalau mmoja wapo. Ukweli ni kwamba umasikini ni kiunganishi kikubwa cha mahusiano mengi. Huchaguliwi na mtu kwa vile unamfaa bali kwa uwezo wako kuzitafutia ufumbuzi shida zinazomsumbua mwenzako na familia yake. Ikitokea umekosa raslimali za kutatua shida zake unaanza kuonekana ‘toxic’ na huna mahusiano yenye ‘future’. Saa nyingine raslimali inaweza kuwa kitu chochote kinachofukia ombwe la mwenzio. Uko kwenye mahusiano kwa sababu mwenzako na kitu fulani kinachokupunguzia hofu, wasiwasi na kadhalika. Unasema una maana gani Mshunuzi? Hoja ninayojaribu kuijenga hapa ni kutokulaumu sana watu wakipotea. Unapowalaumu watu kwa kuacha kuwasiliana na wewe pengine ni muhimu kukumbuka wengi unaofanya nazo kazi si marafiki; wengi unaofikiri ni marafiki ni watu mnaofahamiana, mnaokutana mara kwa mara, mnachangia hofu na huenda mna matatizo yanayofanana, mnasaidiana na, kwa hakika, kinachowaunganisha kikiondoka—kazi, ukaribu wa eneo, matatizo, connection, imani na kadhalika na mawasiliano yenu nayo yanakatika. Ukiwa na mtu anayeendelea kuwa karibu na wewe hata mnapokuwa mbali, hamuonani mara kwa mara, hana anachonufaika na ukaribu wenu zaidi ya mawasiliano yanayodumisha uhusiano mshukuru Mungu. Ukiwa na mpenzi anayeweza kutenganisha shida zake, umasikini wake na mapenzi mshukuru Mungu. Heshimu mtu anayethamini uhusiano wenu, anayekutafuta kukusalimia hata kama hana tatizo linalohitaji ufumbuzi.
3
18
58
1,583
Tukiweza kutatua tatizo la umasikini kama taifa, tutahatarisha mahusiano mengi yanayoendeshwa kama mradi wa kupambana na tatizo la kipato cha mtu binafsi. Ukiuondoa umasikini watu wanaweza kugundua kumbe wanayefikiri wanampenda ni mtu tu aliye tayari kuwasaidia kupunguza makali ya maisha. Lakini pia, tukifanikiwa kusema hapana pale panapostahiki, watu wakawa na ujasiri wa kuambizana ukweli, kwa hakika, tutahitimisha ‘urafiki’ mwingi ulioshikizwa na mipango ya watu wanaofahamiana kutumiana kama ngazi ya kutatua matatizo yao, kukabiliana na hofu zao, kupata mtu wa kuwaunga mkono hata wanapokosea, kuwatetea hata pale wanapohitaji kuwajibika kwa matokeo ya maamuzi walo’yafanya.
1
10
32
793
Christian Bwaya retweeted
Pia ndiyo maana kijana wako naye inabidi afuatilie zaidi ujumbe wake maana Pasta ametumwa kwake kwa nyakati hizi na majira haya. youtu.be/3pOEFxUU3iM?is=UN-m…
1
3
2
363
Christian Bwaya retweeted
Kilichobaki ni kumualika mjoli kwenye Sabato za Wageni na Makambi ya Waadventista Wasabato azidi kusikiliza mahubiri na mafundisho ya Mpakwa Mafuta wa Bwana, Pasta Peter John: youtube.com/live/I8V1qxl0Q6c…
1
3
2
425
Christian Bwaya retweeted
March mwaka jana nikiwa natoka kwenye msiba wa dogo kijijini, nilikuwa kwenye daladala ya kutoka Nyamohongolo kwenda Nyegezi kupanda gari ya Arusha jioni. Tulipofika kituo kimoja sikijui jina ila nilikuja kubaini kuwa ni jirani na hospital mojawapo jijini hapo, aliingia mama mmoja na binti yake mwenye umri wa kati ya miaka 15–18 hivi. Yule binti alikuwa akipumua kwa shida, amebanwa na kifua, nilikuja kujua baadaye kuwa alikuwa na asthma na mama alionekana kama amepaniki. Nikiwa natafakari namsaidiaje, simu ya yule mama (kiswaswadu) iliita na akaanza kumuelezea mtu wa upande wa pili wa simu kinachoendelea, mazungumzo mafupi yaliyojibu maswali mengi niliyojiuliza. Akasema kuwa binti amebanwa na asthma amempeleka hosp akachomwe sindano lakini hakuhudumiwa kwa kuwa hakuwa na hela, alitaja gharama isiyozidi 10,000 na kuongezea kuwa amewaomba hosp wabaki na simu yake (hiyo kiswaswadu) ili wamhudumie mtoto kisha akawatafutie hiyo gharama arudi kukomboa simu wakakataa. Akaongea kwa uchungu na kukata tamaa, alisema “tuko kwenye daladala tunarudi nyumbani hatuna la kufanya”. Akakata simu. Ghafla Ukimya ukatawala ndani ya daladala! Nilivyosikia story, na daladala ikawa imeanza kuondoka lakini tulikuwa hatujaenda mbali. Nikajikuta napaza sauti “dereva mshushe hapa hapa” nikatoa 10,000 nikampa nikamwambia mrudishe binti hosp haraka. Yule mama alikuwa kama kachanganyikiwa, akachukua hela huku akilia na kusema “Mungu akubariki kaka yangu”! Akashuka. Nilijiuliza sana kuhusu viapo wanavyokula madaktari wakati wa mahafali zao. Kwamba inakuwaje unamuacha mtu aondoke akiwa kwenye critical condition vile kwa sababu hana 7,000 au 8,000? Kwamba hapakuwa na njia nyingine ya kumhudumia kisha wadaiane baadaye? Nilikosa majibu. Ila niliogopa sana, mno yani! Ukiwa na afya njema mshukuru sana Mungu 🙏
51
68
497
38,660
@Udadisi una @Ufafanuzi wowote kwa kijana wako @FadhyMtanga? Hatimaye amepata Pasta anayeelewa mapito yake.
1
2
452
Christian Bwaya retweeted
Ooohhhh “China walipiga hatua harakaharaka kwa sababu ya strategiki lokesheni.” Walevi!
1
23
591
Christian Bwaya retweeted
Replying to @FadhyMtanga
@FadhyMtanga muda ni mchache, unachelewesha watu.
1
1
1
540