✍️Amani iwe juu yako ewe rafiki yangu,
• Hakika mimi nakuombea kinga kwa Mwenyezi Mungu mitihani yako isidumu kwa muda mrefu, ili usije kuchukia
• Au faraja kuwa mbali, ikawa sababu ya wewe kukata tamaa
• Ukawa kama wale ambao wanamuabudu Allah mguu ndani mguu nje. ⬇️