🚨Nimejaribu kufuatilia, kupata mambo kwa kina kwa nini Clara Luvanga haitwi timu ya Taifa,Twiga Stars angali anafanya mabalaa Al Nasri,huko Saudi Arabia.
Imekaa hivi, nimethibitishiwa na kiongozi mmoja mwandamizi TFF kwamba kwa mujibu wa miongozo ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) mchezaji ambaye ana homoni nyingi za kiume automatically hapaswi kushirki Mashindano yaliyopo chini yao (CAF). Situation hiyo ndio imemkuta teka letu.
Ingawa inaelezwa huwa hawaweki wazi,ni mwendo wa kimya kimya.