Filter
Exclude
Time range
-
Near
Wakili Edson Kilatu - Mchambuzi wa masuala ya Katiba na Sera ameitaka timu #PbCloudsFM kumuuliza maswali haya Msajili wa vyama vya Siasa atakapofika kufanya mahojiano Clouds Fm. #PBCloudsFM #GenCForLife
16
113
522
31,855
"Kwa takwimu ambazo nakumbuka Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika alizitoa kwenye public. Nazungumzia kuhusu communication ya Mnyika nafikiri ilikuwa kama asilimia 52%. Maana yake inakidhi hiyo akidi ya 50% ambayo inatakiwa"- Wakili Edson Kilatu - Mchambuzi wa masuala ya Katiba na Sera. #PBCloudsFM #GenCForLife
7
32
290
22,146
"Mfano Wachina, ukitoa mzigo China kwa mtu ambaye ni mzawa. Kitendo cha kutoa kontena kutoka China kwenda nchi nyingine anapata Tax advantage. Kwa mfano anayenunua ile mizigo, mfano Mimi nimenunua mizigo na nalipa pale, napata tax refund. Yule aliyeuza yupo Tanzania ame-shift mizigo yake kuja Tanzania kwenye zile kontena anapata tax refund, nchi yake. Nchi yake inamrudishia sehemu ya kodi ambayo ameiingizia.. Na mtu huyo huyo anakopesheka kwa mkopo wa muda mrefu bila kulipa tofauti na sisi tukikopa. Mfano nikikopa Leo nikiwekewa fedha, mwishoni mwa mwezi wa Tano itakapofika mwishoni mwa mwezi wa Sita natakiwa kurudisha fedha hata mzigo haujafika (kutoka China)"- Hendry Kanje - Msemaji wa Jumuiya ya Wafanyabisahara Kariakoo na pia yupo kwenye oparesheni ya kupambana na Wageni hawa magumashi. #PBCloudsFM #GenCForLife
1
6
93
11,666
"Ambalo limekamilika katika namna nyingi. Nazungumzia hiyo 'disappointment' kwa sababu katika mazingira ya kawaida unakuwa unategemea kwamba hivi vyama vingine kwa sababu wanajua wamezidiwa katika namna nyingi. Ulitegemea uone wanatengeneza msingi na kuwa pamoja"- @officialcza1 #PBCloudsFM #GenCForLife
3
6
5,127
Jana aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Benson Kigaila kwa niaba ya wenzake wametangaza kujioondoa kwenye chama hicho. Bado hawajaweka wazi wanapoelekea. Unaonaje uelekeo wa Chama hiki? #PBCloudsFM #GenCForLife
17
11
136
17,678
Ni benki ambayo ilikuwa ya kwanza kuwa na ubunifu ambao tunauona umeshamiri hivi sasa. Imekuwa ya kwanza kuleta ATM Card, ATM machine, Wakala. Kila ubunifu ulianza nao"- Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Benki, Abdulmajid Nsekela #CRDB30 #PBCloudsFM #GenCForLife
5
1
34
6,944
"Na kauli hii sio ya kimzaha ni utekelezaji. Ni benki ya kizalendo ambayo imeongozwa na Watanzania kwa miaka 30"- Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Benki, Abdulmajid Nsekela #CRDB#30 #PBCloudsFM #GenCForLife
2
2
23
3,653
"Benki ya CRDB tunajivunia kwamba mwaka Jana 2024 na hata robo ya mwaka 2025 tumefanya vizuri sana lakini kufanya vizuri sana kwa matokeo lazimakuwe na sababu za msingi. Nitaanza na shukrani kuwashukuru wateja wetu kwa kututhamini. Tunaishukuru Serikali kwa kuweka mazingira mazuri ya kibiashara na benki Kuu kwa kuendelea kusimamia mabenki yote na kwa ufanisi uliopo"- Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Benki, Abdulmajid Nsekela #CRDB#30 #PBCloudsFM #GenCForLife
6
1
95
8,029
"Lakini wanahisa wengi wa Benki ya CRDB ni Watanzania mmoja mmoja ambao wao tutakwenda kukutana nao Arusha na Mwenyekiti wetu wa bodi, Dkt Ally Laay ataizungumzia hapa vizuri. Pia tuna wanahisa wale wakubwa na wale wa nje ambao leo Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Benki, Abdulmajid Nsekela ataongea nao kuwaeleza mafanikio ambayo Benki ya CRDB imeyapata katika miaka 30 lakini katika kipindi kilichomalizika Desemba 2024"- TullyEsther Mwambapa, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation #CRDB30 #PBCloudsFM #GenCForLife
25
4,729
"Matokeo ya Benki ya CRDB ni makubwa ambayo yanaleta tija kwa wawekezaji wakubwa na kwa wawekezaji mmoja mmoja. Ukiangalia Benki nyingine na kampuni nyingine wawekezaji wengi wengi ni makampuni mashirika lakini CRDB Bank wawekezaji wengi ni mmoja mmoja kwahiyo like gawio nono ambao minimum yake ni asilimia 35 ya mapato yetu linakwenda moja kwa moja kwa Watanzania kwenye mifuko yao, familia zao na kujenga uchumi wao moja kwa moja"- TullyEsther Mwambapa, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Benki Foundation #CRDB30 #PBCloudsFM #GenCForLife
1
3
78
7,448
"Mwaka huu tunasheherekea miaka 30 ya Benki ya CRDB. Tupo hapa kama sehemu ya safari yetu ya kusheherekea miaka 30 ya Benki yetu ya CRDB. Hii Benki imejengwa na wanahisa. Na imejengwa na wanahisa wa aina mbalimbali. Tuna wanahisa mmoja mmoja, makampuni, wawekezaji wa kubwa wa kati, na wanahisa nje ya nchi ambao wamewekeza kwenye Benki yetu. Lakini wanahisa wengi wa Benki ya CRDB ni Watanzania mmoja mmoja"- tully_esther_mwambapa, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Benki Foundation #CRDB#30 #PBCloudsFM #GenCForLife
2
1
127
11,463
Baada ya Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso kuzuia "njama kubwa" ya kumpindua kiongozi wa utawala wa kijeshi, Kapteni Ibrahim Traoré, ambapo inadai kuwa wapanga njama hao walikuwa wakifanya kazi kutoka nchi jirani ya Ivory Coast. @officialcza1 amedai haoni Kiongozi huyo, akitoboa kwenye njana hizo za kutaka kupinduliwa! #PBCloudsFM #GenCForLife
29
26
329
32,506
Dorothy Semu, Kiongozi wa Chama cha ACT WAZALENDO akielezea mpango wa Serikali yake itakayoongozwa na chama chake kwenye upande wa bima ya afya kwa wote, endapo watapata ridhaa ya Watanzania kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. #PBCloudsFM #GenCForLife
2
5
28
3,918
"Kipekee sisi ACT WAZALENDO tumeamua kujitofautisha na vyama vingine vyote na mara zote tumekuwa tukikosoa na tumekuwa tulisema nini kifanyike"- Dorothy Semu, Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo #PBCloudsFM #GenCForLife
37
21
75
11,409
"Hawa jamaa wawili Mwenyekiti na Makamu ni watu majasiri sana. Ni watu ambao wakizungumza katikati ya 'temperature' ya uchaguzi kwenye ile 'momentum' ya uchaguzi kwamba tutakufa wote kama wataibiwa kura... "Tundu Lissu na John Heche ni Simba na wakiaamua katikati ya uchaguzi wakahamasisha wanachama, wananchi na wapiga kura kwamba hii ngoma hawa jamaa wakifanya chochote cha kuiba kura na kuondoa thamani ya mpiga kura tunakula nao... "Hiyo ni katikati ya kampeni za uchaguzi. Ni ule wakati ambao mna mgombea wa Urais, ubunge, udiwani wanasema hawana ilani ya uchaguzi na ilani ni thamani ya kura ya Mtanzania. Ndio inapaswa kuwa ilani ya CHADEMA wakati wa uchaguzi"- Julius Mwita - @Julius_Mwita200 Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya CHADEMA #PBCloudsFM #GenCForLife
37
26
581
51,549
"Kwenye tume ya uchaguzi mbaya kabisa mwaka 2000, CHADEMA ilipata viti Vinne vya ubunge na majimbo na madiwani 42. Mwaka 2005 tume ilikuwa ya hovyo sana CHADEMA ilipata majimbo matano na madiwani 72. Mwaka 2010 CHADEMA ilipata majimbo 24. Na mwaka 2010, Mwenyekiti wetu wa sasa, Tundu Lissu alishinda kwa mara ya kwanza ubunge wa Singida Mashariki ndani ya mfumo huo huo mbaya kabisa, Mwenyekiti wetu akiwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki anakwenda kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa chini ya TAMISEMI anashinda vijiji 49 kati ya Vijiji 50 vya Jimbo lake, tume hii mbaya!! - Julius Mwita - @Julius_Mwita200 Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya CHADEMA #PBCloudsFM #GenCForLife
303
26
843
123,782
"G- 55 haiwavurugi watu ila watu ndio wanajivuruga, sisi tunachokizungumza ni kile ambacho alikisema Katibu Mkuu, JJ Mnyika kwenye kikao cha Mkutano mkuu kwamba pamoja na azimio la kudai mabadiliko tujiandae na uchaguzi. Na G- 55 inachotaka ni chama kiende kwenye uchaguzi"- Julius Mwita - @Julius_Mwita200 Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya CHADEMA #PBCloudsFM #GenCForLife
24
7
165
13,591
"No reform no election ilianza mwaka 2020. Mwaka 2019 baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa na baada ya uchaguzi mkuu wa ndani ya Chama na chama chetu kilikutana kwenye vikao vya faragha na wakati ule baada tu ya uchaguzi mkuu kulikuwa kuna shida kidogo kwamba Makamu wetu Mwenyekiti bado alikuwa hawezi kurudi Tanzania. Alichaguliwa akiwa nje ya nchi. Tulikutana kwenye vikao vya chama Nairobi, Kenya . "Tulikubaliana kutengeneza mpango mkakati wa mwaka mmoja wa namna ya kuuendea uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Majadiliano mengi yalifanyika na tulisema twende na No reform no election, na ilieleza vitu gani vifanyike kwa hatua kwa hatua na katika hizo hatua mwisho wa siku ni lazima twende kwenye uchaguzi. "Ukisoma mpango mkakati wa CHADEMA kuanzia 2020- 26 lengo namba Tatu ni kupambana kuhakikisha kunakuwa na maboresho ya mifumo ya kiuchaguzi ili kukiwezesha chama kushinda uchaguzi wa mwaka 2025"- "Utaona kwamba hakuna documents au mwongozo wowote wa kichama ambao unasema tuache kwenda kwenye uchaguzi au tusifanye uchaguzi. Lakini documents key mbili katiba ya Chama na mpango mkakati wa Chama hakuna sehemu imesema Chama hakitakwenda kwenye uchaguzi"- Julius Mwita - @Julius_Mwita200 Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya CHADEMA #PBCloudsFM #GenCForLife
78
7
252
30,878
"Demokrasia ndio inayowafanya mrudi mzungumze na katika kuzungumza mnapata jambo moja. CHADEMA ni taasisi ambayo inaingozwa na instrument's mbalimbali, lakini instrument namba moja inayoongoza ni Katiba ya CHADEMA ambayo imsesajikiwa kwa Msajili wa vyama vya siasa, ndio mwongozo namba moja wa Chama cha siasa. "Sura ya Nne ya Katiba yetu inazungumzia madhumuni ya Chama, sura ya Tano inazungumzia uanachama. Ukisoma dhumuni namba moja linatamkwa kwenye Ibara ya 4.11 inasema kuhakikisha kuwa chama chetu kinashinda chaguzi za kiserikali na kushika dola kwa njia ya kidemokrasia ili kuleta maendeleo endelevu kwa Taifa"- Julius Mwita - Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya CHADEMA, #PBCloudsFM #GenCForLife
33
9
321
23,539
"Sio tu Jimbo langu, majimbo yote ya Dar es Salaam wananchi wanalalamikia barabara, Serikali inafanyeje? Inakwenda Benki ya Dunia, inachukua mkopo Dola Mil. 438 karibu Tril. 1.2 inajengwa mradi wa Dar es salaam Metropolitan Development Project (DMDP) awamu ya pili ambao ni mradi maarufu sana Dar es Salaam. Mradi ule ukikamilika mtu wa Bombambili, Majohe ambaye alikuwa akitumia Tshs 2,000 kufika Mombasa, Ukonga na kutumia Saa Tatu kufika Kariakoo, atatumia Tshs 700 kutoka Bombambili- Kariakoo na hali ya maisha itaongezeka na Pato la Taifa litaongezeka"- Jerry Silaa - Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. @jerrysilaa #PBCloudsFM #GenCForLife
46
4
195
21,643