“Huwezi zungumzia tasnia ya habari nchini bila kumtaja Gadner, Gadner alikua mvumbuzi kwenye kutoa habari, alikua anatoa edutainment kwenye kipindi chao, habari ngumu zilikua zinaburudisha kwenye Jahazi”
- Bakari Mwapachu (Mwakilishi Mwananchi Communications
#RIPCaptain