4. Anarudi kitaa tena.
Sasa anaamua kubadili mchezo:
“Ajira zimekuwa ngumu… ngoja nijiajiri.”
Anaanza biashara ya kuuza vifaa vya simu , Laptop, na Viatu.
Mwanzo:
Anapata wateja wachache,
Mwezi unaofata wateja wanaongezeka
Anapata matumaini makubwa
Baada ya miezi 3 anaanza kuona Faraja,
Miezi miwili mbele anakutana na kipengele,
Faida inaenda kwa kodi ya fremu
Umeme, usafiri, na matumizi mengine vinaongezeka.
Misuko suko mIpya inaingia:
Simu na Laptop alizo nunua nyingi zilikuwa used sasa Return zinakuwa nyingi,mtaji wa Electronic Devices unapukutika, sasa Miezi imesonga TRA'ss Wanahitaji ajisajiri alipe kodi, na kashayumba kiuchumi,
Wateja wateja wakaanza kubageni pesa ya chini zaidi kuliko bei ya chini kuliko aliyonunua, wateja wanaanza kulalamika,Wengine wanachukua kwa mkopo, wanapotea...
Kijana anashindwa kupata faida mtaji unapotea akanza kupunga kula akawa Anakula mara Moja kubana Matumizi....
Cont... In next POST