"we need to do better" na nani? Serikali ya CCM imeivuruga nchi na mifumo yao mibovu.
Watoa vibali vya ICD ni kina nani/waouza maeneo ya wazi je?
Na dodoma ishaanza kuvurugwa.
Dar is one of the ugliest cities in Africa. And the uglification is ongoing. There are very few places to go, relax and breath. Mfano, mchana mtu ukitaka kupumzika, kama siyo kwenda kwenye restaurants, unakwenda wapi?
No respect even for future potential developments. Mfano, kama tunataka Sinza iwe high-rise locality in 20 years, it means lazima kuwepo na breathing spaces ndani na nje ya Sinza kwenye surrounding areas. But we are auctioning them. Utterly disgusting.
We need to do better, au tuweke mamlaka maalumu na zinazojitegemea za majiji ili kuredesign, ku-budget na ku-redevelop majiji yetu. Manispaa HAZIWEZI. Siyo shida zao hizo.