Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma leo ametembelea ofisi za Bodi ya Ithibati jijini Dar es Salam na kusisitiza usimamiaji madhubuti wa utekelezaji wa Sheria ya Huduma za Habari, nidhamu, maadili na udhibiti wa wanaofanya kazi bila Ithibati.