Joined June 2009
210 Photos and videos
8 Mar 2024
Iconic Leader...
2
48
Adam H.Mzee retweeted
Rest in Peace my Dear Brother, Dr. Hage G. Geingob, President of the Republic of Namibia.
64
304
3,497
247,557
Adam H.Mzee retweeted
Kuhusu ushiriki wetu kwenye COP28, tumezungumzia maeneo gani ambayo tupeane nguvu kwenye mkutano ule. La muhimu zaidi, tumewaomba watusaidie kuzungumza na kutupa nguvu katika kuhakikisha kuwa lile tunaloenda nalo Tanzania, suala la nishati na nishati safi ya kupikia, lipate nguvu na tupate msaada kwa nguvu zote. #RaisIohannisTz
1
9
34
5,362
20 Nov 2023
A day to remember and honor as we commit to revive and  scale to greater heights cooperation between Tanzania and Romania.
2
47
4 Sep 2023
Commander-in-chief
1
38
13 Aug 2023
1
80
18 Jul 2023
When women leaders meet decisions are not just made but are binding
1
2
56
17 Jul 2023
Karibu Tanzania....
41
20 May 2023
Set goals with deadlines, or else you wont hit them.......
1
35
5 Apr 2023
Color meets season.... Both meets life #NatureBeauty #sunflower #Chididimo #Dodoma #Kilimo #environment #
61
26 Mar 2023
Everytime I encounter this, it reminds me,my love towards nature and environment. #fishkeeping #NatureBeauty #environment #Vegetable
2
53
19 Feb 2023
Matokeo yeyote ya mpira inayoendelea iwe chachu ya kujifunza vitu kadhaa na kuvitekeleza na vilete tija 1.Uwekezaji uwe wazi na uzingatie mambo yote muhimu. 2.Mikataba iwe wazi pamoja na gharama zinazotumika 3.Makocha wawe huru kupanga timu na si vinginevyo.
30
15 Jan 2023
Kuna wakati nawaza tu Ujamaa wa Sasa maana yake nini sipati jibu....naendelea kujifunza.
39
28 Dec 2022
Leo nimekutana na mmoja wa wakali wa hiphop nchini Emam Abbas.....
57
13 Dec 2022
Kuwa makini na rafiki anayependa vizuri tu awe navyo yeye hata chako kizuri anakitaka....kuwa makini naye. #wordsmith #mjukuuwabionja #hiphoplover #hustler #selfmadephotograper
5 Dec 2022
Tujipe thamani****
1
26 Nov 2022
Ma Dj's mnazingua wakati huu wa World Cup kutwa mpo busy na kutuwekea sauti kubwa ya muziki wakati wengi tungependa kusikiliza matangazo ya mpira kombe la dunia.
13 Nov 2022
Rafiki unajisikiaje napopiga simu haupokei, sms haujibu lakini kutwa upo online unapost na kuwasiliana na wengine....dont blame for my next move soon! #hustler #selfmade
7 Nov 2022
Kuna umuhimu wa kuwa na somo la huduma ya kwanza na uokoaji kuwa ni lazima (compulsory) kwa elimu ya msingi au sekondari hii itasaidia sana pindi majanga yanapotokea.
21 Aug 2022
Binafsi huwa sielewi kipengele hiki, naona mauza uza tu.... #airtel #tcra