Entrepreneur

Joined November 2011
60 Photos and videos
Mapenzi ni chanzo kikubwa cha furaha na maumivu at the same time. Nna jamaa angu mdogo wake alikuwa anatembea na mke wa mtu, wamempiga nondo katoboka fuvu. Alipozima wakamchuna ngozi ya uume yote kuanzia kwenye shina. Anafanyiwa upasuaji leo kuondoa damu iliyovujia kwenye ubong
Kuna lijamaa limechoma chumba cha GF akiwa na room mate wake na wote wamefariki kisa mapenzi. Mapenzi na wagonjwa wa akili inabidi yakatazwe kisheria.
11
Neckae retweeted
22 Dec 2024
The body is honest.
59
1,181
4,309
148,641
May 27
Walitaka madaraka wakayapata. Kuna mambo rahisi tu wangefanya ingekuwa kazi nyepesi kupata hiyo legitimacy wanayoitafuta ila kwa namna wanaenenda watapata shida sana.
Hii awamu inaweza ishia kwenye kutafuta legitimacy
22
May 26
You did a great job exposing that fraud.
Looks like comrades from Tanzania are just catching up on the heat from November last year. There’s a sudden surge of interest in my old posts🙆‍♀️
1
82
Neckae retweeted
This is what got me fired after working for one month, with the media company called The Spearhead, founded by David Hundeyin. .@mukholitrevor, in his wanting to present his half baked analysis on Pan Africanism, left out the part where he took my tweet to the work group. A 🧵
22
102
233
49,970
May 25
Nimeandika na kufuta mara kadhaa. Haya yoote yanakosa mashiko kwa kutothamini uhai wa mwanadamu. Enforced disappearances, yaliyotokea October 29 na kutokuwepo kwa nia ama utayari wa kuwajibika vinatia doa kubwa sana. Kuna mambo yanafanyika unabaki kuwaza hawa watu wanafikiria nn!
Huwezi kutaja mafanikio ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli bila kumtaja Rais Samia Suluhu Hassan, kwa sababu kwanza walikuwa wote,pili sehemu kubwa ya miradi hiyo imekamilishwa au kuendelezwa kwa kasi chini ya uongozi wake wa Rais Samia. Ni kweli kwamba Dkt. Magufuli alijulikana zaidi kwa nidhamu kali, kasi ya utekelezaji wa miradi mikubwa, kubana matumizi ya serikali, pamoja na kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani. Hata hivyo, kulikuwa pia na changamoto na malalamiko mbalimbali, hususan katika maeneo ya demokrasia, diplomasia, na mazingira ya biashara ambapo baadhi ya wafanyabiashara walilalamikia ugumu wa kufanya shughuli zao na kufungiwa biashara zao. Kwa upande mwingine, Rais Samia Suluhu Hassan ameonekana kujipambanua zaidi katika diplomasia, kufungua uchumi, kuimarisha mahusiano ya kimataifa, pamoja na kuendeleza miradi yote ya kimkakati iliyoanzishwa awali. Aidha, amewekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta za huduma za afya, elimu, utalii, kilimo, ardhi, na biashara. Kwa hiyo, inaweza kusemwa kuwa Dkt. Magufuli aliwekeza zaidi kwenye miradi mikubwa inayoonekana kwa macho na kuvutia wananchi wengi kwa haraka, jambo ambalo limekuwa kawaida kwa viongozi wengi wa Afrika wanaopenda kuonyesha maendeleo kupitia miundombinu mikubwa. Rais Samia, kwa upande wake, ameonekana kujikita zaidi katika maboresho ya mifumo na sekta mahsusi ambazo matokeo yake si rahisi kuonekana kwa kila mtu isipokuwa kwa wadau au wanufaika wa moja kwa moja. Mfano mzuri ni maboresho yaliyofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam na sekta ya uchukuzi,sekta ya ardhi, huduma za afya, sekta ya utalii, pamoja na upatikanaji wa mbolea za ruzuku kwa wakulima. Mtu anayefanya kazi bandarini anaweza kuelewa mabadiliko makubwa yaliyofanyika huko. Mtaalamu wa ardhi anaweza kuona maboresho ya mifumo ya ardhi. Mgonjwa au mtoa huduma za afya anaweza kushuhudia uwekezaji mkubwa uliofanywa hospitalini na kwenye vifaa tiba. Vivyo hivyo, wadau wa utalii na wakulima wanaweza kueleza namna sekta zao zilivyoboreshwa katika kipindi hiki. Kwa ujumla, viongozi hawa wawili wamechangia maendeleo ya Tanzania kwa mitazamo tofauti: mmoja akiwa na msisitizo mkubwa kwenye utekelezaji wa miradi mikubwa ya kitaifa, na mwingine akiwa na mwelekeo zaidi wa kuimarisha mifumo, sekta za huduma, diplomasia, na mazingira ya uchumi kwa ujumla.
16
May 25
Life, doing what it does best. Mimi huwa nasema Hujaishi mpaka uishi. Ni mpaka mtu yamkute ndo anaweza akaelewa hali unayopitia. Mungu akusaidie mzee, keep fighting. Utanyanyuka tena.
Through God’s strength, I will overcome and take responsibility.. 🙏🏽
1
1
4
410
Neckae retweeted
Sir Matt Busby Player of the Year ✅ United Players' Player of the Year ✅ FWA Footballer of the Year ✅ Premier League Player of the Season ✅ That's our Bruno 🐐
1,954
26,426
104,820
1,115,862
Neckae retweeted
🚨 OFFICIAL: Bruno Fernandes breaks Kevin De Bruyne and Thierry Henry’s record for most assists in a single Premier League season. 21 assists delivered this season. 👑🇵🇹 History. 🎞️
4,195
26,379
189,659
2,688,503
May 24
Hoooold my bear 😅😅😅😅
Sasa Brighton na nyie ndio mambo gani haya ... hebu second half fanyeni comeback , kuna kitu nataka kuona😀😀
1
7
May 23
The moment I saw that minister speaking I knew where this would lead. We have lived the reality, we know what happened. It's either you have been paid to whitewash the government or you are naive.
2
13
843
May 18
Thank you Case. All the best
You don’t wear this shirt. You carry it.
1
18
May 10
They are going to bag UCL too.
Good. They should win the league. Let PSG win UCL. They have suffered enough.
22
May 10
Politicians wetu wako involved na biashara ya mafuta hawawezi ruhusu "cake" yao kuguswa.
Hivi mnajua ni ajira ngapi zingepatikana kama mradi wa Dangote ungeangukia Tanzania and not Kenya..? Kundi kubwa tu la vijana wenye elimu na wasio na elimu (wasaidizi nk) wangepata kazi.. fedha nyingi sana ingerudi kwenye familia zetu. Sema nini.. HAYA BWANA! 😤
1
1
39
PSG anashida leo. Arsenal anabeba kikombe.
17
God is good. Hongera mzee, umejitoa sana kwenye hili.
Tumepata dhamana, tupo na ninja Kama utataka kumchek ni home baadae atleast kuanzia sa2 usiku Saivi atafikia kulala kwanza🤜🏿 Asanteni kwa sauti , Mungu awabariki
35
Haya mambo yanaumiza sana. Mfumo wetu wa vyombo via ulinzi vinahitaji reshuffle. This is not the way to go. #freeninjanow
Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe. Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu waliokataa kujitambulisha, na kumpeleka kusikofahamika. “Wameondoka naye hatujui kapelekwa wapi. Wametoka huko watu saba wakaja,mimi nashangaa watu wanakimbia mvua au wanakimbia nini? Moja kwa moja wanamfuata Damur na mimi nimekuwa hapa. Wakamshika, wawili wanamshika na mmoja akatoa pingu mfukoni akamfunga. Nikauliza kuna nini [wakasema] tutajua  huko huko, nyie nani? Wakasema tutajuana huko huko,” anaeleza Lilian Swai mama wa Damour. “Kwa hiyo wakambeba watu watatu wakamshika, wakambeba wakamburuza mpaka kwenye gari. Mimi nikawa nataka kuingia na yeye huko, wananivuta wakanitoa nje.”
13
Apr 23
And you believe it!!! Intelijensia ya nchi ilikuwa imelala wakati wa uratibu wa mambo yote hayo? Watu sio wajinga aisee
…..Tume ilibaini kwamba, ghasia na maandamano yale yalipangwa, yaliratibiwa na yalifadhiriwa….na wale walio ratibu na kufadhiri, wali train pia watu wa kufanya ghasia zile… Mfano; watoto wanaoishi katika mazingira magumu, bodaboda etc walipewa fedha kati ya TZS 10,000-50,000 katika kipindi cha kuanzia Tarehe 12-28 Oktoba na mafunzo kwa ahadi ya Ajira na vipato zaidi Mfano…Kuna kijana mmoja USA River Arusha, miaka 16 alipewa 50k na ahadi ya 5M akishiriki….. Pia Tume ilibaini zilitumika mbinu 16 katika kuratibu, na ku mobilize ghasia zile ambazo mfano ni; 1. Kuweka vizuizi barabarani 2. Kuchoma mali za Umma 3. Matumizi ya ishara ili kutambuana 4. Kuanzisha ghasia sehemu nyingi na kwa wakati mmoja ili kutapanya polisi. Malengo ya waratibu wale ilikua ni pamoja na; 1. Kuzuia na kuvuruga Uchaguzi Mkuu 2. Kufikisha ujumbe kwa Serikali 3. Kufanya wizi na kupora mali Jaji Othman Chande-Ripoti ya Tume
26
Apr 23
Pole sana mkuu.
Zaburi 27:10 Zaburi 55:22. Hata katika njia ngumu Mungu hatatuacha.. Atatuvusha 🙏🏽
55