Mwanaume ili ukae kwa utulivu kabisa unahitaji pesa.
Dunia haiko fair kwa mwanaume asie na pesa.
Mavazi pekee ya mwanaume ni gharama hata akiwa mtoto.
Mwanamke wako anahitaji kuhudumiwa, watoto wanataka ulipe ada bado nyumbani kwenu kama sio kuzuri wanahitaji kitu.
Pengine hujasikia popote ila mwanaume unafaa kutokata tamaa, faida ni faida hatakama ni ndogo shida ni matumizi.
Age should matter kwenye kushika pesa, uhalisia ni kwamba 20s mpaka early 30s hazikuruhusu kuwa tajiri unless una backup ya wazee au we ni tapeli.
Hao wenye pesa pia at that age tulikua hatuwafahamu, amini katika process huku ukiona progress zako.
Enyewe kama bado unalizwa na mapenzi wakati bado haujawa vizuri kiuchumi, be blessed with a middle finger bro.
Mwanamke unaemlilia atasomesha watoto? Atalisha familia? Lakini vipi kuhusu pesa unazotafuta leo zitakusaidia mambo mangapi?
Usiache kufanya mapenzi na usiache kuomba msamaha unapokosea but don't over do.