A journalist and a Content Creator

Joined November 2017
28 Photos and videos
Ruga Eval retweeted
Wakazi wa Kaunti ya Laikipia wameeleza kutoridhishwa kwao na makadirio ya bajeti ya mwaka 2026/2027 yaliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, John Mbadi, wakisema yatawalemea zaidi kifedha . #NTVAdhuhuri @ruga_eval
1
10
2,101
Ruga Eval retweeted
Rais William Ruto amehitimisha ziara yake katika mataifa matatu ya Ulaya kwa kuwahimiza Wakenya wanaoishi ughaibuni kuunga mkono na kuwekeza katika ajenda ya mageuzi ya serikali. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
1
2
27
2,985
Ruga Eval retweeted
Watoto wawili wameuawa katika eneo bunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega katika visa viwili vya kusikitisha . #NTVAdhuhuri @ruga_eval
4
7
3,843
Ruga Eval retweeted
Maafisa wa polisi huko Mombasa wanawasaKa washukiwa watatu wa wizi ambao walitoroka na majeraha ya risasi. Wezi hao walipatikana wakiiba kutoka kwa gari la mfanyibiashara mmoja eneo hilo . #NTVAdhuhuri @ruga_eval
10
34
6,149
Ruga Eval retweeted
Mvulana mwenye umri wa miaka mitano kutoka Kaunti ya Kajiado anapambana na ugonjwa wa Gaucher, ugonjwa unaogharimu matibabu ya zaidi ya Shilingi milioni moja kila mwezi. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
1
10
3,490
Ruga Eval retweeted
Benki ya Family imepokea idhini rasmi kutoka kwa mamlaka ya masoko ya mitaji (CMA) ili kuorodheshwa katika soko la hisa la Nairobi (NSE) . #NTVAdhuhuri @ruga_eval
4
17
4,179
Ruga Eval retweeted
Huyu Kennedy Kaunda Ni Nani? Kennedy Kaunda ameendelea kupata umaarufu baada ya kukabiliana moja kwa moja na Waziri wa Kawi Opiyo Wandayi wakati wa kikao cha kutatua mgomo wa sekta ya uchukuzi. #NTVJioni @swakesho_ @ruga_eval
2
7
45
3,152
Ruga Eval retweeted
Familia moja Kakamega inalilia haki baada ya mwanao kufariki kwenye maandamano yaliyoshuhudiwa kupinga kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Anadaiwa kufariki baada ya kupigwa risasi. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
1
2
2
1,719
Ruga Eval retweeted
Wanasiasa Wamfokea Murkomen Baadhi ya viongozi wa upinzani wamemkosoa vikali Waziri Murkomen, kwa kile wanachosema ni kutoa matamshi yenye ubaguzi na ukabila. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
2
1
2
1,578
Ruga Eval retweeted
“Tulifutwa Kazi Kupitia WhatsApp” Wafanyakazi kumi na wanne wa chuo kikuu cha Machakos wanataka haki wakidai kufutwa kazi kupitia ujumbe wa WhatsApp. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
1
3
12
4,605
Ruga Eval retweeted
Fred Matiang’i: Hatuwezi kukubali aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta kudhalilishwa kwa matusi na kejeli. Uhuru si mtu wa kawaida ambaye kila mlevi anaweza kumvamia kwa maneno. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
6
5
72
7,742
Ruga Eval retweeted
Kinara wa ODM, Oburu Oginga ametangaza kuwa atagombea tena kiti chake cha uSeneta wa Siaya katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027 na kutupilia mbali uvumi kwamba atawania urais. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
2
3
17
3,953
Ruga Eval retweeted
Kundi la wabunge na magavana wa eneo la Magharibi wanaomuunga mkono rais William Ruto sasa wanasukuma kupewa wadhifa wa naibu rais katika uchaguzi mkuu ujao. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
2
2
8
2,649
Ruga Eval retweeted
Serikali imejitenga na matamshi ya Naibu Gavana wa Kakamega Ayub Savula na Mbunge Charles Gimose, yaliyohusisha Ikulu na tume ya uchaguzi IEBC na madai ya wizi wa kura mwaka wa 2027 kwa manufaa ya Rais William Ruto. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
4
17
71
12,875
Ruga Eval retweeted
Safari ya Fikirini Jacobs Kutoka vumbi la Bamba, Ganze, hadi ngazi za juu za utumishi wa serikali, safari ya Fikirini Jacobs imekuwa hadithi ya matumaini inayowasha mwanga kwa vijana wengi wa kenya. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
2
5
3,178
Ruga Eval retweeted
FIFA Yamwokoa Hussein Mohamed FIFA limekataa kusimamishwa kazi kwa Rais wa FKF Hussein Mohamed, pamoja na wanachama wengine wa kamati kuu ya utendaji (NEC). #NTVAdhuhuri @ruga_eval
2
8
2,208
Ruga Eval retweeted
Sonko Aomba Bei Ya Mafuta Kushushwa Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko amehimiza serikali kupunguza bei ya mafuta akisema kuwa kiasi kilichopunguzwa bado hakijamwondolea mwananchi mzigo wa bei ghali. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
1
6
30
2,637
Ruga Eval retweeted
Haki Kwa Waliouliwa Maandamano Familia za vijana watatu waliofariki baada ya kupigwa risasi Jumatatu katika maeneo ya Thika na Ruiru sasa wanataka mamlaka ya Ipoa kufanya uchunguzi wa kina ili wapate haki. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
1
3
1,286
Ruga Eval retweeted
Mbunge wa Mavoko, Patrick Makau, amesema serikali inapaswa kukubali kwamba Linda Mwananchi umeingia kwenye ushindani wa kutafuta kiti kikubwa nchini, na hivyo ni lazima kuwe na uwanja wa kisiasa ulio sawa kwa kila mmoja kuelekea uchaguzi wa 2027. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
9
102
9,722
Ruga Eval retweeted
'Msitumie Vijana Vibaya' Viongozi wa kisiasa Kirinyaga wametakiwa kukoma kutumia wanablogu kuchapisha taarifa za uchochezi dhidi ya wanasiasa taifa linapoelekea katika uchaguzi wa 2027. #NTVAdhuhuri @ruga_eval
3
2
1,420