Joined September 2011
10,076 Photos and videos
Juzi kati nilienda Pingo kuangalia viwanja vya 800,000. Watu wananunua na kujenga kwa kasi. Binafsi sikuvutiwa napo, kiwanja cha makazi 100km kutoka Dar hapana aisee! Bora nikanunue shamba kijijini kwetu.
5
2
21
2,920
Tumeshindwa kuitumia SGR kama mbadala wa Mabus. Dar-Dom weka 25k Kila baada ya saa moja train inaondoka, haki ya Mungu hakuna atakayehangaika na mabus.
24
5
231
24,365
'Mchongoko' ni ushahidi tosha wa uchumi wetu.
3
1
39
6,505
Dizaini kama sugar sukari inapanda bei kimya kimya kila uchao, shida nini?
324
Mbeya, sidhani kama kuna Mji umepangiliwa vibaya kama huu Duniani.
3
23
2,645
'Guta/Toyo' za umeme ni jibu jipya! Vitoto vidogo mno vinaendesha sidhani kama kuna hata mmoja mwenye leseni.
1
1
2
416
Hii namba miyeyu sana
3
2
1,096
Airport yangu ishakua jau, mzigo umeondoka wote sijui hata zinanyonyoka saa ngapi!.
321
M-Wekeza moja ya huduma bora kuwahi tokea Tanzania. Interest 10%(kwa wakati huu) sio haba wazee! Ukizingatia hela yako unaweza kuitoa muda wowote mbwa akila mbwa
7
3
52
10,278
Ndege na hayo mamillion si bora wangeziba mashimo njia yetu ya Igawa-Mbeya.
2
1
3
577
Asilimia kubwa kama sio yote ya pisi zilizofanya bbl bongo zilikuwa na shape nzuri kabla.
1
5
679
Mabingwa wa EPL tukose amani? Kwa lipi? #COYG
19
7
63
19,780
Wanangu nina efutatu miasaba tu. Hamchelewi kusema freemason 😅
1
1
2,015
?
7
11
3,344
Unataka kufanya biashara ya nyumba za makazi? Magomeni, Manzese, Mabibo, Tandale, Kigogo, Mwananyamala na Kino bado ina nyumba za chini ya 50M. Ukivunja na kutoa kitu fresh una uhakika wa kula kodi ndefu kuliko aliyejenga kwenye kiwanja cha 100M Goba.
6
11
145
28,316
Nina jersey mpya ya msimu ujao nimenunua jana sijaivaa nani tubadilishane na sare ya mtoto wa kike darasa la pili?
2
8
1,553
Nimekunywa panadol 6 lakini bado. arteta miyeyusho unampaje beki guu la mavi apige penalty muhimu kwenye maisha yetu? Najua lengo lako tufe fresh hatujafa. Shenzi
1
1
516
Michezaji mweusi imetukosesha kombe. KMLY Eze na Mosquera
1
1
2
541
Mtu anipigie nahisi mapigo ya moyo yamesimama
5
1
609
Nikiendelea na mpira 50 sifiki. Nastaafu
326