LIVE: Usikose kufuatilia kupitia Youtube Channel ya USAMALA TV matangazo Mubashara ya Sherehe ya kuhitimu mafunzo ya awali ya Askari Polisi Kozi namba 1/2025/2026.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linaendelea kufanya uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na kuwahoji watu mbalimbali kuhusiana na tukio la kupotea kwa wasichana wawili mkoani humo.
Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wakifuatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Ruto, wakati akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma Mei 5,2026.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa katika Gwaride maalum ambalo litakaguliwa na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. William Ruto, kabla ya kuhutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma Mei 5,2026.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amewataka askari kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, haki na uadilifu na kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.
instagram.com/p/DXj_JfODNpI/…