Mwekezaji Mzawa.

Joined June 2013
1,531 Photos and videos
Pinned Tweet
7 Sep 2019
51
33
220
AziiL Azizy retweeted
20 Aug 2024
Replying to @julip202
Katika Sheria za dini ya Kiislam hairusiwi kuwaoa dada wawili pamoja. Kisheria si ruksa. Nenda katika surat Nnisai kaipitie utaona UHARAMU huo. Lakini,utaruhusiwa kumuoa dada ya mkeo au ndogo ake endapo mkeo atafariki na ukapendezwa na familia yao au kwa maslahi ya watoto walioachwa na mkeo. Maana kama utamuoa atawapenda wale watoto tofauti na kuleta mke mwingine kuja kuwalea. Ombi la mkeo ni kinyume na Sheria maana Mtume(s.a.w) anasema "Amelaaniwa mwanaume anayechanganya maji ya uzazi kwa ndugu wawili". Hapo inamaana hakuna ruhusa ya kuwaoa kwa wakati mmoja,lakini Qur'an imebainisha wazi kuwa ni haramu kuwaoa dada wawili pamoja.Labda kama ulimwacha kisheria au amefariki hapo inaruhusiwa kumuoa dada yake. USHAURI Kama mazingira ya huyo dada yake hayapo vizuri na wewe umejaaliwa wasaa wa rizki na pakulala,basi unaweza kumlea tu Hadi atakapopata wa kumuoa tena.Hilo kuliifanya ni swadaqa kwako na Allah atakulipa. Lkn usije shawishika ukazini naye,hapo utajichumia madhambi makubwa
39
86
341
17,993
AziiL Azizy retweeted
4 Days Left! Only 4 days remain to apply for the PEPFAR HIV Best Practices Awards. Showcase your innovative work in HIV prevention. Apply today! forms.gle/Kp5jj2DWbHjmyREB7 #THS2024 #PEPFARAwards
6
10
541
AziiL Azizy retweeted
Apply now through the link and Join us in the THS 2024, to honor the champions. #THS #THS2024 #Tanzaniahealthsummit #ths #THS
4
19
23
944
AziiL Azizy retweeted
25 May 2011
umeme umefanya utetezi wangu kwa jinsi serikali inavoshughulikia kero za wananchi usimame..20 years na bado kuna mgao,hawa watu wana ubongo?
13
86
219
25 Sep 2023
RT
30 Nov 2017
Miongoni mwa huduma ambazo watumiaji wake wote wa nchi hii tunakubaliana kuwa imewashinda waendeshaji ni kwenye umeme. Lakini waendeshaji wenyewe kamwe hawawezi kukubali kuwa huo ndio ukweli wala.Angalau turudie rudie kuwaambia kuwa hawawezi,pengine itatusaidia siku moja.
2
775
13 Jun 2023
Do you remember when you joined Twitter? I do! #MyTwitterAnniversary
1
2
5
808
30 Apr 2023
Azam Tv: Ndugu Mtazamaji Tunaomba radhi kwa kusimama kwa Mchezo kutokana na tatizo la Taa uwanjani Meneja wa Uwanja;
2
5
641
AziiL Azizy retweeted
1
1
457
25 Jan 2023
Leo ilikuwa siku nzuri sana ya mama kuchukua pointi 3 zingine. Angeeenda Airport kumpokea.
25 Jan 2023
Lissu yuko kwenye Prado kama la shemeji yake Ngowi 😁😁 Hii nchi ni yetu sote buana.
1
2
722
AziiL Azizy retweeted
Tafadhali RETWEET Paris 4thKit Bei; 27,000 Size; S,M,L,XL,2XL 📍; Kariakoo (Congo/Narung'ombe, Handbags Tower,1st Floor) ☎️ ; 0715950110 🛵; Delivery Tunafanya
1
24
31
5,299
17 Jan 2023
Bro akija aje na Jam yake, asile ya mhusika mkuu.
17 Jan 2023
Shakira deduced Piqué was cheating on her after she returned from traveling to find that her strawberry jam was eaten. Piqué has never eaten jam in his life.
1
323
7 Jan 2023
Are you made of Fluorine, Iodine, and Neon? 'Cause you are F-I-Ne🤗
6 Jan 2023
Officially a Chemical Engineer or whatever
519
25 Dec 2022
Sopu kaigeuza Yanga kopo la Chooni😺
257
AziiL Azizy retweeted
For The GREATEST OF ALL THE TIME @45MinStore MESSI 10 🙌🏽 Jezi = 27,000 Kila Herufi = 1,000 Kila Namba = 3,000
1
24
44
AziiL Azizy retweeted
Senegal For Africans 🙌🏽 Jezi Zinapatikana Kwa 27,000 Size; S,M,L,XL,2XL Location; Kariakoo (Congo/Narung'ombe, Handbags Tower,1st Floor) Call/WhatsApp; 0715950110 Delivery Tunafanya
1
29
66
AziiL Azizy retweeted
25 Nov 2022
"Mikakati yote haiwezekani bila kuishirikisha jamii lazima tushirikiane na wadau wote kuhakikisha mpango mkakati wa kutokomeza ukatili unatekelezwa kwa vitendo Nchini." Amoni Mpanju - Naibu Katibu Mkuu @maendeleoyajami. @WiLDAFTz #PingaUkatiliOkoaMaisha #16DaysOfActivism
4
7
AziiL Azizy retweeted
25 Nov 2022
Bi. @AnnaKulayaMkurugenzi mtendaji wa @WiLDAFTz akitoa historia ya uzinduzi wa siku 16 za kupinga Ukatili, ambayo inaadhimishwa leo Duniani kote. #PingaUkatiliOkoaMaisha #16DaysOfActivism
7
8
20 Nov 2022
May be, One day Yes.
1
AziiL Azizy retweeted
Sautika Nasi #SautikaNasi Sautika kidigitali #SautikaKidigitali Sautika sasa #SautikaSasa Pepea kidigitali #PepeaKidigitali
5
6