"Bado sinywi pombe kama ulivyoniacha shuga../
Huwa naswali ila sifungi mawazo yamenipa ulcers../
Wananicheka ujinga 'coz nakuongelea wewe tu../
Nikiongelea mapenzi mfano wangu wakwanza ni wewe boo../
Sema mheshimiwa @MwanaFA anakuwa deep sana kwenye mapenzi. Hii ni hazinaπ
HONGERENI JamiiForums kwa kuanzisha βJamiiCheckββ¦ leo mtu akilishwa matango pori mtandaoni akaaruka nayo, kaamua mwenyewe, kwani mmewapa watumia mtandao fursa ya kucheck usahihi wa habari/taarifa!ππΎππΎππΎππΎπͺπ½πͺπ½πΉπΏπΉπΏπΉπΏ
Uandishi na style ya @MwanaFA uko juu Miaka Yote kwenye tasnia ya muziki Bongo! Sijawahi boreka kumsikiliza! Wakati mwingine nilitamani asishirikishe mtu ataharibu wimbo ππ
Heshima ππΏπ―
Wakikuuliza unaendeleaje waambie vizuri zaidi ya jana vizuri zaidi ya wao. Mungu ana maguvu sana, miluzi mingi na kubwa la mbwa sipotei. Mipango ya miaka chungu nzima na dira hunitoin yanaitika yakijisikia maisha usiyavalie kikoi na siyo lazima yakubali kwani unayadai? βͺβͺβͺ