Ombi kwa wazazi wote wenye watoto walioko shule za Sekondari na umri wao wa kupiga kura haujafika, Ongeeni na Watoto wenu. Impact ya wanachokifanya ina negative effect zaidi kwao kuliko positive side.Wawaulize majority ya vijana wenzao waliowahi kutumika,Leo wapo mtaani hopeless.