Kamwabie Yule mgombea aliyechoka Sana wa TLS anayekutuma kutunga ujinga wako kwamba hautamsaidia hoja za kisheria hazijadiliwi mitandaoni tukutane mahakamani. Na wale watu wako wanaosubiri viti maalumu wambie watasubiri Sana. This is the problem of being desperate and pig mind
👉Yani Mdee na wenzake wamemlipa Wakili Kilatu Tshs 25, 000, 000/= kwa kudraft haya maujinga alafu wanategemea watashinda kwa kubebwa kama walivyobebwa 🤣🤣🤣
👉Pamoja na kusaidiwa na Sungusia but bado ngoma inabuma,kweli siku ya kufa miti kila nyani anateleza yani 🤣🤣🤣