....................

Joined May 2011
Photos and videos
Pinned Tweet
Hatimaye LEO NIMEKAMILISHA safari nyingine ya MIAKA 5 ya UTUMISHI, nikiwakilisha JIMBO la KAWE kwenye BUNGE la J/ Muungano wa Tanzania. Asante sana WANANCHI wa KAWE kwa HESHIMA hii KUBWA, ASANTE sana CHADEMA kwa kuniamini, Asanteni sana WATANZANIA wenzangu!! Tunasonga 😍😍✊🏿✊🏿.
1,516
694
12,362
3
3
54
6,312
T 105..... karibuni SHAMBANI.
19
8
128
8,721
Ooh kumbe system.....! Uwe na usiku mwema.
Replying to @halimamdee
Naongelea system Mkuu, usidhani nimekubeza, sisi tusshapiga kilimo cha msimu tumelia lakini Growers wakubwa Field wanaenda rarely
4
91
24,876
KARIBU, tutengeneze wote contents.
Kilimo ni mtaji bwana, unaweza kulima kwa simu ukawa unaenda tuu kutengeneza contents
11
3
185
26,039
19
9
137
19,933
Maisha Mapya.......Marafiki WAPYA. Mlango mmoja ukifungwa, mwingine lazima Utafunguka tu. πŸ˜ƒ! Green Gold ( πŸ₯‘ ).
103
41
606
26,403
Ile unayoifikiria wewe.
Replying to @halimamdee
Anakuchungulia sehemu gani mh
15
1
59
17,477
Utakuja basi, tuzivune wote.
9
6
58
11,856
Lakini unamfuatilia.....πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ! Mie nipo SAWA SAWA...πŸ₯‘πŸ˜ƒπŸ˜ƒ!!!na walioshirikiana kuniita MSALITI wakageukana na kuitana WASALITI kwa lugha NGUMU sana . Ukikua (unaonekana bado mtoto) utakuwa makini sana kwa kila neno unalolisikia kwa binadamu mmoja ...dhidi ya mwingine..... ! Glad unanichukia...lakini unanichungulia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!
Replying to @halimamdee
Msaliti
98
20
354
55,657
New Life!
263
129
1,542
76,558
Karibuni Shambani. ☺️☺️
57
38
482
16,003
πŸ€£πŸ“Œ!
7
56
8,204
πŸ“Œ!
16
20
487
12,206
πŸ˜‚πŸ˜‚ utakuwa SBS ? Kumalizia MACHUNGU πŸ˜ŠπŸ“Œβ€οΈ!
31 May 2025
Replying to @halimamdee
Tusubiri YANGA vs SBS. sijui fainali ni timu zipi.
1
27
11,819
Naona MMEAMUA kutukimbia TENA WANANCHI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ₯‘!
19
5
348
20,890
Mhe. NAONA Timu yako pendwa … imeamua KUTUKIMBIA tena !! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! Hiki sio kiwango cha FINALIST wa KOMBE la SHIRIKISHO!!
39
24
697
44,129
Na mimi Nakubaliana nawe 100%. Unajua heshima ilishaondoka 5years ago.. sasa nashangaa kwa nini sipotei kwenye VIDOLE πŸ«†πŸ«†vyenu mkiwa MNACHAPA spana ! πŸ˜„! Ni wazi tu MNANICHUKIA mpaka MNANIPENDA..
Replying to @halimamdee
Halima kukijenga chawa Kwa nguvu kubwa hakukupi mamlaka ya kusaliti. Hatujawah kuwa na mjadala wenye kupuuza harakati zako katika ujenzi wa Chadema ila usaliti ndio kinachoondoa heshima yako .
75
7
188
31,645
Nami napenda iwe hivyo . Tena ndio SAFI. πŸ˜‚ ! Yaaani HAKUNA hata kaushahidi.. huoni kanafanya maisha yanakuwa simple sana .
17 May 2025
Replying to @halimamdee
Dada Halima kujenga taasisi sio tatizo ishu ni ur EXIT' imefanya hata hakuna finger prints mlizoacha ambazo zinakumbukwa au kiwa acknowledge
29
1
68
17,101
Tumejenga taasisi HATUA kwa HATUA wakati wao wananyonya au hata hawajazaliwa πŸ˜‚πŸ˜‚β€¦ Leo wanamiliki SMARTPHONE wanatuvimbia humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! KWa BΔ°TΔ° NZITO NZITO .. nikitaka punguza stress natembelea’ga’ hii DUNIA. Ni ya kipekee sana ! πŸ˜‚
Replying to @halimamdee
Nakumbuka kile kikao cha mtu kwa mtu ukwamani ndugu ulikijenga chama. Acha hawa watoto wakudharau
218
24
409
53,949
Umesema VYEMA … you will NEVER know.. MIE NILIAMUA Kunyamaza KIMYA . RAIA MKAMEZA takataka ZOTE mlizomezeshwa. 5 years on… sijajutia UKIMYA wangu.. MAANA naendelea KUJIFUNZA kumbe SIO KILA MTU anaweza vumilia πŸ₯‚πŸ˜ƒ! Cheers najiandaa na MECHI ya WATANΔ° sasa πŸ˜‚!
Replying to @halimamdee
Mwanetu naona unajibu comments leo! Anyways! I don’t know what happened to you and probably we will never know! But damn! You are such a good politician! It’s a shame you chose what you decided to choose! Goodluck kwenye mishe zako
89
11
229
35,215