∆NormaLife ✌️

Joined February 2021
1,748 Photos and videos
Pinned Tweet
Replying to @Sativa255 @mhabukat
Lissu anatupambania sisi lakini sisi hatuoneshi kumpigania yeye hata kidogo, badala yake tumemuongezea jukumu lingine la kujipigania mahakamani kwa mda usiojulikana 🥹🥹. Tunajua anaonewa lakini hatuchukui hatua za makusudi na gharama ndio maana watesi wanamuongeza adhabu. 😭
1
3
303
SEM☀️ retweeted
Wewe mtanzia uliepo MKOANI kushiriki mikutano ya CHADEMA ni ibada. Hiki chama kinawasemea NDUGU ZETU waliouliwa kikatili OKTOBA 29–hakuna CHAMA kinapigania haki za ndugu zetu zaidi ya CHADEMA. Ukiona mtu anaumia na hizi NYOMI za CHADEMA jua kabisa huyo ni mshiriki wa MAUAJI YA MO29. Tuendelee kukiunga mkono hiki chama kinaenda kututoa MATEKANI. REPOST 200
5
79
360
5,486
SEM☀️ retweeted
MZEE WA UPAKO katambulishwa hapa kwenye mkutano wa IRINGA uwanja mzima umeshangiria kinoma.😂 Watu wote wanacheka kabla hajaanza kukemea MAPEPO😂 WAZIRI MKUU WA MBEYA🙌🏿🙌🏿🙌🏿🤣🤣🤣
7
66
798
21,451
SEM☀️ retweeted
HAKI ITASHINDA……….
28
324
1,957
26,398
SEM☀️ retweeted
Kwa namna ambavyo Serikali dhalimu na katili ya MaCCM na watawala wake wanavyomtesa Tundu A.M Lissu gerezani, leo zikiwa zimetimia siku 428 tangu kuwekwa kizuizini, siku ambayo Mungu ataamua kugeuza kibao na Tundu A.M Lissu akawa Mkuu wa Nchi, kisha akaamua kuwawajibisha wahuni wote kwa makosa yao kwa mujibu wa sheria, asitokee mtu yeyote, mtumishi wa Mungu au jumuiya za kimataifa kulalamika. Kila tendo lina matokeo yake, na kila anayepanda atavuna alichopanda. 🙏🏾
24
176
1,085
23,477
SEM☀️ retweeted
Watanzania, mambo yanaendelea vizuri. Dunia ipo na sisi. Msiwe na hofu, tutashinda. Bado kuna kishindo kinakuja. Keep on fighting. Nipo na begi la maamuzi magumu. Yajayo yanafurashisha #TanzaniaMassacre #FreeTunduLissu
44
252
1,297
15,772
SEM☀️ retweeted
~PRAY, PRAY, PRAY~
6
63
345
5,283
SEM☀️ retweeted
Asante MCHUNGAJI kwa kupiga panapouma. REPOST 200 #FreeTunduLissu

9
193
937
18,303
SEM☀️ retweeted
Hii nyomi ya KARATU lazima wakoloni weusi walale wanasonya. Hiki chama ambacho hakina RUZUKU kinawezaje kufanya yote haya? Jibu ni jepesi "kushiriki mikutano ya hiki chama ni KUFANYA IBADA YA KWELI" ASANTENI KARATU KWA KUIHESHIMISHA CHADEMA.
17
185
1,240
16,686
SEM☀️ retweeted
Asante sana Karatu , kituo kinachofuata Iringa mjini! The Nyaluland!
32
203
1,475
17,935
SEM☀️ retweeted
Free Lissu!
20
127
633
13,393
SEM☀️ retweeted
Replying to @ChademaTZ2
Hii ni moja ya majukumu ya msingi kwa chama chochote kikuu cha siasa duniani. Wajibu mkuu wa chama cha siasa ni kuwa ngao ya wananchi na kusimama nao bega kwa bega dhidi ya changamoto, dhuluma, au kero zinazotokana na mifumo ya utawala. Shukrani za dhati kwa chama changu, CHADEMA.
5
31
225
5,830
SEM☀️ retweeted
Mungu! Usitunyamazie 😭🙏🏽 Mungu wetu ni mwaminifu na atajibu muda si mrefu! There is a deep seated TRAUMA and collective grief in #Tanzania following the atrocities of #TanzaniaMassacre Mwalimu Christopher Mwakasege leads prayers to God asking the Lord “where are you?” Why do You let the Wicked devor the Just? We pray he is not harmed like other Christian leaders who have spoken up about the injustices and atrocities! Nobody is spared by these EVIL regime! Dark times we are living! #SamiaMustGo
27
190
783
22,171
SEM☀️ retweeted
“Mungu wetu usitunyamazie watoto wako, yatosha”…😭😭😭
16
150
715
18,306
SEM☀️ retweeted
Waislam tuombe dua, Wakristo fanyeni sala. Lazma tumshirikishe Mungu! Naamini mabadiliko yanakuja, Allah, anaona machozi yetu, alafu anaona maumivu yetu, atatufanyia Watanzania maajabu.
47
319
1,968
36,127
SEM☀️ retweeted
“Utawala bora si kuhusu nani anashika madaraka. Utawala bora ni kuhakikisha kwamba madaraka yanadhibitiwa na sheria, yanawajibika kwa wananchi, na yanatumika kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.”
6
42
237
10,669
SEM☀️ retweeted
21
83
1,123
SEM☀️ retweeted
Kwa Mungu tunaamini
5
64
353
3,444
RT @Sativa255: Hili tukio la kikatili lilifanywa na VYOMBO vya usalama kwa mwananchi MO29. Unaona kabisa mwananchi anawekewa bunduki huku…
114
SEM☀️ retweeted
6 May 2025
REPOST Warioba (84yrs) LIKE Wasira (80yrs)
42
2,523
1,001
108,174
RT @LarryMadowo: EXCLUSIVE: Our CNN investigation found that Tanzanian police killed protesters, and signs of mass graves used to hide thei…
9,399