Joined May 2021
113 Photos and videos
Stringer bell retweeted
Eight different teams have won the NBA Finals in the last eight seasons 😳 This extends the longest streak of unique champions in league history 🏆
56
632
2,944
114,753
Stringer bell retweeted
kipaumbele kikubwa cha walioko madarakani ni kuendelea kubaki madarakani kwa gharama yoyote ile. si maendeleo ya nchi wala ustawi wa wananchi, na hicho ndicho kinachoelezea changamoto zote zinazotukabili kama taifa: uminywaji wa demokrasia, ukandamizwaji wa uhuru wa habari, etc.
13
121
382
8,114
Stringer bell retweeted
serikali inayoshutumiwa kuuwa watu haipaswi kuwa na nafasi ya kuamua nani achunguze shutuma hizo. tufike mahala tuchukuliane serious kama watu wazima. huu mchakato umekufa kabla ya hata kuanza. hakuna kufunika kombe; mwanaharamu hapiti hapa. lazima akabiliwe. kaeni mkijua hilo!
17
159
562
10,502
Stringer bell retweeted
okt. 29 ni natural outcome ya juhudi za wanaoshikilia madaraka kuminya kila nafasi ya wananchi kushiriki kwenye uendeshwaji wa nchi yao, na ni matumaini yetu kwamba watawala watajifunza a lesson or two. (nb: hii ilikuwa ni kabla ya okt. 29, na matukio yaliyoambatana nayo).
9
67
248
6,202
Stringer bell retweeted
Hating this regime is going to be a full-time job.
9
205
713
15,471
Stringer bell retweeted
He's the main reason ffs
3 Nov 2025
Rest in peace baba 😭😭🤍💔
20
32
346
26,477
Stringer bell retweeted
3 Nov 2025
Replying to @CAFCLCC
@CAFCLCC @CAF_Media @CAF_Online Hello, Following the current unrest and ongoing killings in Tanzania and Zanzibar, as a fan and supporter of football and other sports, I would like to suggest that the tournaments be held outside these two nations. Thank you.”
27
360
627
36,915
Stringer bell retweeted
Research ndogo tuone hali halisi ya huku kwa ground.
15
1,303
295
38,706
Stringer bell retweeted
True kaka Polisi ni miungu watu mtu hatakiwi kuwagusa wala kuwabugudhi hata wanapokosea...kwanza me nadhani makanisa yangefungwa yote watu tuwe tunaenda kusali kwenye vituo vya polisi maana polisi wetu ni watakatifu mno
Mshikaji kaanza kumpiga mateke police bila ya police ku react awa jamaa wangeona ni kawaida tu since hawana mipaka, ivyo hii ya leo ni fundisho kesho na kesho kutwa hawawezi rudia upumbavu wa leo
2
5
12
457
Bud crewford is really him
1
31
Stringer bell retweeted
1 Sep 2025
Average struggling citizens are collectively dumb, celebs are dumb, politicians are dumb.. The only conclusion I can draw about Tanzanian political activists, like Lissu, is, they're either highly suicidal or they're even dumber than all of us for thinking we can be saved
1 Sep 2025
Replying to @Rydx_017
Diamond..
15
44
170
11,970
The waterfront
Unatazama Series Ipi Hapo Saivi
38
Here we go
Canelo Alvarez and Terence Crawford come face-to-face TODAY 🚨 Watch live across The Ring socials 📺 #CaneloCrawford live on Netflix l Sept 13th in Las Vegas 🥊
34
Bila kusahau succession
First thing comes in your mind??
1
1
43
Stringer bell retweeted
MPOX🫵 Dalili za Monkeypox [Mpox] zinaweza kufanana na za magonjwa mengine ya Virusi. Kwa mfano 'ndui' ya kawaida. Dalili hizo huanza kati ya siku 5 hadi 21 baada ya kuambukizwa na tena, mara nyingi, hudumu kwa wiki 2 hadi 4. Hakuna Tiba! Hizi hapa ni "Dalili Kuu" za Monkeypox [ Mpox ]. 1. Homa kali – Joto la mwili hupanda ghafla tu. 2. Maumivu ya Kichwa nao usumbufu mkubwa. 3. Mwili Kulegea, Uchovu Mkali, Kukosa Nguvu. 4. Maumivu ya misuli, mgongo na viungo vingi. 5. Kuvimba kwa tezi [ lymph nodes ] – Uvimbaji wa sehemu za siri, makwapa na mpaka shingo. 6. Vipele na vidonda vya ngozi – Hii ndiyo Dalili maarufu zaidi. Huanza kama vipele na kugeuka kuwa vidonda vyenye kutoa usaha. Viupele huanzia usoni, kisha kusambaa mwilini ikiwemo viganja vya mikono na nyayo za miguu na Vidonda hivyo hupitia hatua mbalimbali hadi vikauke na kuacha makovu. Jinsi [ Mpox ] inavyoambukizwa. 1. Kugusana moja kwa moja [Direct Contact] na majimaji ya mwili, au pia vidonda vya mgonjwa. 2. Kugusana na Vitu Vichafu kama Mashuka au mavazi na hivyo haitakiwi kushiriki [ Kuvaliana ] 3. Kupitia matone ya hewa, kutoka kwa mhanga [mgonjwa] aliye na 'dalili kali' za hii Monkeypox. 4. Kupitia Wanyama Walioambukizwa na "hasa" Wanyama Pori. Na au kwa kupitia "Mizoga" yao! Ikiwa una dalili hizi, ni muhimu tafuta huduma ya afya "haraka", kwa ajili ya uchunguzi na matibabu sahihi, na kama kuna dalili zingine sijaziorodhesha na unazifahamu, unaweza kushiriki hapa ili kutusaidia. Ugonjwa hauna dawa ila inategemeana na, 'Kinga ya Mwili' wa mgonjwa. Punguzeni 'ngono zembe' za Uzungu wa Denda na Mabusu, usisahau Kinga ni Bora kuliko Tiba! Mizizi✌🏾
3
12
28
6,117
Stringer bell retweeted
8 Mar 2025
Mwendokasi ni hatari.
76
85
846
109,454
Eti to soft...hujui mpira wee
Mm napenda Simba ila hizi Penati tunazopewa ni kitu cha aibu sanaa... to soft.... Mpira wetu unakufa
44
On space ofc
Different football schools ofc. But which midfielders do you prefer - Those who put/pass the ball on foot. THE MOST - Those who put/pass the ball on space. THE MOST
45
Huyu mzee sijui anawazaga nini Poor selection 🚮🚮
29 Jan 2025
🚨 𝐑𝐄𝐀𝐋 𝐌𝐀𝐃𝐑𝐈𝐃 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋 𝐗𝐈
49