Jukwaa la washauri na wataalamu wa Teknolojia || Computers || Phones | Softwares || ICT Hardwares and Networking || ICT Security || IoT || AI and Robotics

Joined February 2020
4,198 Photos and videos
It's happening ⚑️, au niwe mtabiri 😁
4
1
16
640
Happy birthday @gabyconscious ​ Wishing you a year filled with blessings and success. Thank you for continuously inspiring us and sharing your knowledge on all things digital ⚑️
1
10
43
1,216
Hii ilikuwa zaidi Mali, ungeweza kukopea mkopo Bank πŸ˜„
What’s the FIRST thing you think of when someone says β€œWindows XP”?
11
3
30
2,280
Hizo chats uwe unazifuta, siku ikijichanganya ku-click link ndiyo basi tena.
Huko dm warembo ni wengi wakubwaa hadi naogopa, πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏ Mpaka nachoka mimi
2
471
Tatizo siyo Millennials, Hizo ndiyo zilikuwa peak download sites nzuri za wakati ule dunia nzima, mid 2000's technology ilikuwa kwenye 2G/EDGE, tulitumia hizo ku-download Java Games, ringtone, videos kwenye Nokia, Sony Ericsson etc Sasa tupo 5G, AI, Cloud technology etc.. πŸ˜„
Millennial wali download music kutumia "waptrick,wapdam,Tubidy"
10
4
97
5,036
Gen Z wanasema Millennials tulilipia pesa kufundishwa computer na kufunguliwa emails, ni kama wao wanalipia pesa kufundishwa Forex, AI Prompt na "How to make money online" huko mbele Gen Alpha watawashangaa walilipaje. kipindi hicho kuna Quantum computing, AGI, Assistance Robot.
13
32
307
9,613
Mpaka AI Jamani? Hii si tunaijua au πŸ˜‚
Millennials wakiona videos za paka anaongea wanadhani ni kweli, mpaka tuje tuwaambie ni Ai πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†β€β™‚οΈ
1
1
5
547
Hii wala siyo ya Millennials, Smartphone manufacturers ndiyo walikuwa wazi-brand kama "Touchscreen Feature Phones" sababu una-tachi (input method) Teknolojia ilivyozidi kukua zikaja Smartphones yaani namna simu ina‐compute na matumizi ya OS pia. Millennials tuko vizuri πŸ˜„
Millenial ndio walikuwa wanaita touch screen badala ya SmartphoneπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
10
5
67
5,348
Computer Engineering Telecom & Electronics Engineering
What department is this? πŸ˜‚
4
4
28
1,431
Shida kubwa ni madalali, ila Platforms zipo. Tukipata solution nzuri za kuwa-engage madadli nadhani tutamaliza hili tatizo.
Imeshindikana kabisa Bongo kuwa na online rental platform badala ya madalali?
1
2
13
1,461
Chukua universal router yenye sim card slot, TP–Link is the best for home Internet, tafuta customised sim card kwa ajili ya Internet tu/unlimited. halotel, voda etc Unaweza kutoa laini ukaweka kwenye simu ukatumia au ukabadili laini kwenye router kulingana na mazingira βœ…οΈ
Mnatumia router za specific mtandao au universal routers huko wakuu? And nani anauza? Packages zikoje?
5
14
106
8,932
Hili suala la FBI kuwa na ofisi kwa majirani pale KENYA limekaaje? Kuna vijana wenye michezo ya scamming watapotea mtaani.
6
8
204
18,642
#TOTTechs retweeted
Airtel is set to invest Sh5.6 billion in a new 44MW data centre at Tatu City, expected to become the largest in East Africa
43
521
3,247
55,673
#TOTTechs retweeted
Aisee Hii Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kuna vijana ni wa bunifu. Vijana wa aina hii wakipewa support kama taifa tutapiga hatua kubwa mno kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ, Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬, SA πŸ‡ΏπŸ‡¦, Hawawezi kutusogelea. Hebu jionee maajabu kijana mdogo wa kitanzania kutengeneza mtandao wa kijamii wa sauti/audio based.
17
15
196
16,744
So Apple wanarudi kwenye Intel Chips?
JUST IN: Apple and Intel $INTC reach agreement for Intel to make chips in Apple devices, WSJ reports.
2
8
1,434
Wakenya πŸ˜„πŸ™ŒπŸ»
Kuna sharp boy naona amecrack immigration system ya Australia. Jamaa anatoa wasee Kenya na permanent residency bana siet.
2
25
3,701
Kama ni kufungulia PDF, Microsoft Edge ni nzuri sana.
Ipi ni Browser nzuri kwa kufungulia PDF File. β€’ Google Chrome β€’ Microsoft Edge β€’ Opera Browser β€’ Safari β€’ Firefox
1
13
964
Tum-support @NjiwaFLow Naomba uipigie kura NJIWA STORE wauza simu bora Kariakoo πŸ™πŸ½ (CATEGORY – MOBILE PHONES AND ACCESSORIES) Link πŸ‘‡ evopolls.com/polls/kariakoo

2
5
294
Unashtakiwa vizuri tu, sheria ina focus kwenye action (the bullying/harassment) kuliko legitimacy ya Platform, iwe umefungiwa au haijafungwa. Hata utumie VPN your conduct remains subject to national laws. Japo kutakuwa na shida ya evidence ila unaweza shtakiwa.
Huwezi mshtaki mtu kwa kufanyiwa bullying mtandao uliofungiwa na Serikali.!! πŸ˜‚
10
1
38
3,457
#TOTTechs retweeted
Boss! Nimeona @salymdev kaelezea vizuri sana; Just to add mifano; Zamani Bank X ikitaka kumuwezesha mteja wake kutuma pesa kutoka Bank X kwenda S-Pesa(mobile money), mara nyingi ilibidi pesa ya Bank X ipitie payment aggregator au commercial intermediary kama Swahilies ili transaction ifike upande wa S-Pesa. Lakini kupitia TIPS, hakuna tena commercial middleman wa interoperability pale katikati. Pesa inamove kutoka Bank X kwenda S-Pesa kupitia national payment infrastructure ya TIPS. Halafu TanQR unaweza kuiangalia hivi: Zamani ukiwa financial institution na umeissue Lipa Namba zako kwa ajili ya wateja wako, ilibidi uende kwa kila mobile money provider au bank mmoja mmoja uwaombe wakubali hizo Lipa Namba zako zionekane kwenye mfumo wao wa malipo lli wateja wao waweze kuzlipia. Wangeweza kukubali au kukataa, au wangeweza kukudelay na integration ilikua tofauti tofauti kwa kila provider. Lakini kupitia TanQR/TIPS ecosystem, licensed financial institution akicreate Lipa Namba, interoperability inakua built in automatic na Lipa namba zako zinakua live kulipwa na wateja wa all other financial institutions zilizo kwenye Tips/TanQR. Huna haja ya kwenda tena kuwaomba ao mobile money au banks kuhusu Lipa namba zako kuonekana kwenye system zao. Tips inafanya ilo kwa lazima na haraka. The big question is, who has access to build on top of TIPS? Kwa sasa ni banks and mobile money (or simply, a provider with a license to issue wallets), sisi wengine wote including PSPs we need to partner with banks or momo to build on top of Tips.
Okay @Positivenga1 @TOTTechs how TIPS actually works? I’m designing something here and stuck
2
9
36
3,440