Miundombinu ya Mkoa wangu wa Mbeya ni Mibaya sana hasa Barabara, Mbeya imechimbwa yote 🥹
Mbeya imejaa vumbi, kila kona, jaribu kuwaza Vumbi na baridi. Wakazi wa Mbeya tunatia huruma aiseee
Serikali sisi wakazi wa Mbeya tunaomba hizi barabara zijengwe kwa wakati maana hii ni kero mno lakini inaweza kutuletea Madhara kiafya.
#BringMbeyaBack