Generally talk a lot about #M4C #KatibaMpya #ManchesterCity #HumanRights #ChangeTanzania πŸ† A Business man- -C.E.O of Next Zone Shine Wear Group.

Joined April 2014
26,171 Photos and videos
"CCM haina uwezo wa kututoa walikotukwamisha":-Hon Freeman Mbowe
22
107
953
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Msikilize Mh John Heche Pale CCM Hakuna wakujibu hzi point Muandishi muoga mno
8
73
338
11,128
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Ninachokiona huenda wameshahamisha familia zao. Kwa chuki iliyopo mitaani na hasira za mauwaji ya mwaka jana; wakijaribu kitakachowatokea kitakuwa kikubwa sana. Kwa akili ya kawaida sioni kama maandamano yakitokea viongozi kama hawa na familua zao watakuwa salama.
9
50
184
6,597
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Siku inakuja hivi karibuni mtalia machozi kama tunavyolia na zaidi! Tatizo lenu mlishauza roho zenu kwa Shetani na mmekuja kuamini kuwa mna nguvu kuliko Mungu Mnakaribia kupata fundisho na kufanywa mfano kwa Afrika na dunia nzima, ili huu ufedhuli wenu waogope madikteta wengine kutenda! #TutaelewanaTu
10
59
308
8,632
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Samia toa miili watu wakazike Acheni upuuzi mnaliza watu #KatibaMpya

7
53
219
3,978
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
2
57
136
1,924
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
"Human rights violations, wherever they occur, are intolerable and must be condemned in the strongest possible terms. Injustice does not cease to be injustice simply because it occurs beyond our borders or far from our sight. Human rights are universal, inalienable, and non-negotiable; every violation constitutes a grave affront to human dignity and the rule of law, demanding unequivocal condemnation, accountability, and redress. In this regard, we unequivocally denounce the ongoing human rights violations and any acts that undermine the rule of law, fundamental freedoms, and the independence of the legal profession in Uganda. We stand in firm solidarity with the members of the Uganda Law Society and all those courageously defending justice, constitutionalism, and human rights. Their struggle for the protection of fundamental rights and the preservation of democratic values is a cause that transcends national borders and deserves the support of all who believe in justice, accountability, and the rule of law. BAK MWABUKUSI PRESIDENT TLS.
1
51
162
3,374
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
"Atakayeniumiza familia yangu italipa kisasi." Mhe. @HecheJohn
2
57
258
4,278
Tanganyika INAPITA wakati mgumu sana kwahiyo sisi kesho tunaenda kuwakusanyia KODI zanziber halafu wao wanapumzika hawafanyi kaziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
14
680
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
ALERT ⚠️: Watanganyika, tunaangamia kwa kukosa maarifa. Samia na genge lake wanatuangamiza. Kumbe safari ya Urusi ilikuwa siyo tu kutafuta makazi, bali pia mipango ya kupeleka wapiganani? Haya Watanganyika. Kazi tunayo
6
28
153
8,481
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza rasmi kuingia barabarani kupitia mikutano ya hadhara nchini kote, kikidai kuwa sauti za wapinzani zinaendelea kufinywa na vyombo vya dola huku serikali ikisusa kutenga fedha za Katiba Mpya kwenye bajeti kuu ya nchi. ​Akizungumza leo Juni 15, 2026 mbele ya Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA, Brenda Rupia amesema ziara hizo zitaanza Ukanda wa Kusini, zikihusisha Kanda za Kusini, Nyasa na Magharibi kuanzia Juni 18 hadi Juni 26, 2026. ​Rupia amekosoa bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2026/2027 iliyotangazwa wiki iliyopita kwa kutotenga fungu lolote la mchakato wa Katiba, akionya kuwa ikifika mwaka 2028 utakuwa ni ucheleweshaji uliopitiliza. ​"Bado sauti zetu hazijasikika, bado sauti zetu zinafinywa na vyombo vya dola na CCM wanajimilikisha vyombo hivyo. Bajeti haina kipengele cha Katiba, na serikali haina mpango huo kwa mwaka huu wakati sisi tulishasema ikifika 2028 itakuwa ni 'too late' kuanza mchakato," amesema Brenda Rupia kwenye makao makuu ya chama hicho, Edwin House yaliyopo Mikocheni. ​Katika hatua nyingine, Rupia ameshtumu Jeshi la Polisi kwa kupora sare za chama hicho (kombati) na kofia kutoka kwa muuzaji mkuu, Ndugu Mjela, akidai kuwa kuna njama za kuwavalisha watu wao ili wafanye fujo na kuisingizia Chadema wakati wa operesheni hizo. ​ Ratiba ya mikutano hiyo itaanza Juni 18 huko Nachingwea, ikifuatiwa na Masasi (Juni 19), Songea Mjini (Juni 20), Njombe na Makambako (Juni 21), Mbarali (Juni 22), Mbeya Mjini (Juni 23), Tunduma (Juni 24), Mpanda (Juni 25) na kuhitimishwa Tabora Mjini mnamo Juni 26, 2026.
4
62
294
6,383
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Hivi Kwanini Serikali Ya CCM Isimuachie Huru Tundu Lissu Ili CHADEMA Waumie?
14
13
135
4,811
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
‼️DUBAI! ‼️ Msione kimya kimama imebidi apelekwe Dubai maana high heels hizi hazina adabu! Kwenye ugeni huko tayari alishakosea step! Mgongo umegoma kabisa! Hali si hali kwa sasa ni kupumzika kitandani! Hii si ishu ni kawaida ila kwa nini iwe kimyakimya? Someni Katiba! Alafu Makamu naye kachomoka kimya! Tupo na Madilu ati! Nchi mnaiendesha ka kioskπŸ™„ Eniwei taarifa zinavuja kila kona! Watumishi wa umma wamewachokeni! Watanzania tumewachokeni!!Acha kabisa! #SamiaMustGo #TutaelewanaTu
25
108
561
29,738
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Kosa moja kubwa ambalo madikteta huwa wanafanya.. Ni kufikiria kwamba dikteta mmoja alieanguka: 1. Labda hakua makini au mbinu zake zilikua dhaifu. 2. Labda vyombo vya dola vya Nchi hiyo havikua makini kumlinda huyo dikteta kama ambavyo vinamlinda yeye. 3. Labda version ya udikteta wa yule alieanguka ni wa chini au wa kizamani sio kama wake. Mwisho wa siku akianguka ndio anagundua kwamba yeye hakua na ujanja wowote kuliko wengine lakini inakua too late. Dunia imeshuhudia Adolf Hitler, Gadaffi na familia yake, Mobutu Seseko, Omar Al Bashir na wengine wengi… tabia za binadamu zinafanana, hawawezi kukubali kuteswa na kudharauriwa na kikundi kidogo cha watu kwenye jamiii.. Udikteta wa ccm, una mda mfupi sana kwenye Nchi hii. Hamuwezi kuua maelfu ya watu, then hamjutii wala kusikitika na bado mnatishia kuua zaidi.
27
129
530
10,572
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Kumuweka kizuizini Tundu Lissu hakumaanishi kwamba umeweka kizuizini fikra zake. Unaweza kumzuia kuzungumza kwenye majukwaa ya kisiasa, lakini huwezi kuzifunga hoja zake katika akili za Watanzania. Unaweza kumfungia gerezani, lakini huwezi kuyafungia maswali aliyoyaibua kuhusu haki, demokrasia, uchaguzi, uwajibikaji wa serikali na mustakabali wa taifa. Kwa zaidi ya mwaka mmoja tangu kukamatwa kwake Aprili 2025, Lissu ameendelea kuwa kizuizini akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, huku kesi yake ikikumbwa na hatua mbalimbali za kisheria na kuahirishwa mara kadhaa. Lakini historia ya siasa duniani inaonyesha kuwa mawazo hayawekwi pingu. Mara nyingi, kadiri mtu anavyozuiwa, ndivyo wananchi wengi zaidi wanavyoanza kujiuliza maswali yale yale aliyokuwa akiuliza. Kadiri sauti inavyonyamazishwa, ndivyo hamu ya kujua kwa nini imezuiwa inavyoongezeka. Ndiyo maana nguvu ya dola inaweza kuzuia mwili wa mtu, lakini si rahisi kuzuia ushawishi wa mawazo yake. Hoja zinaendelea kusafiri kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine; kutoka kwenye mikutano kwenda kwenye nyumba, makanisa, misikiti, vyuo, mabasi na mitandao ya kijamii. Swali kubwa katika jamii ya kidemokrasia siyo kama mtu amefungwa au yuko huru. Swali kubwa ni kama hoja zake zimejibiwa. Kwa sababu hoja zisipojibiwa, zinaendelea kuishi hata pale mwenye kuziibua anapokuwa kizuizini. Unaweza kumweka mtu gerezani, lakini huwezi kuifunga dhamiri ya taifa. Hoja, fikra na maswali huendelea kuishi ndani ya mioyo ya wananchi muda mrefu baada ya milango ya gereza kufungwa.
11
119
509
7,640
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
6
164
829
7,933
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
Chalamila mwogope Mungu! Hata kama ni kulinda ugali wako si kwa maneno kama haya! Unafikiri umetisha Gen Z? Besi umewakasirisha na kuwafanya wawe bitter zaidi na chuki kubwa! Mi nikiwashauri mnasema ni uchochezi! Nimeweka ujumbe ambao una nafuu mengine ungeyasoma ungehama nchi! ACHENI KUTISHA WATANZANIA! Wasikilizeni! 7/7 #Maandamano #TutaelewanaTu #SamiaMustGo #KatibaMpya
19
104
416
18,043
Mrudisheni IBRAHIM

1
13
42
1,045
MMAREKANI MWEUSI πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡ΊπŸ‡Έ retweeted
‼️TAARIFA KWA UMMA‼️ Watu waliojitambulisha kuwa ni police wamefika nyumbani kwa Katibu wa Kanda ya Serengeti Mhe. @jacksonmnyawam2 wamemchukuwa na kuondoka nae wanasema walikuwa wanamhitaji kituo cha police Shinyanga mmoja wa Polisi hao amejitambulisha kwa jina la Masoud Wamemchukuwa muda wa saa 21:08 akiwa nje ya geti lake wakati anataka kuingiza gari lake ndani nilikuwa naongea nae akiwa ananipa mrejesho wa uchaguzi wa Mkoa wa Shinyanga na ratiba ya chama ya kesho ya Mkoa wa Simiyu. Lucas Ngoto @lucas_ngoto Mwenyekiti wa Kanda Serengeti.
10
121
554
19,828
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

18
44
936