Filter
Exclude
Time range
-
Near
Klabu ya Al Hilal ya nchini Sudan kesho inatarajiwa kuja nchini kuweka kambi ya kujiandaa na michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wakiwa nchini watacheza michezo mitatu ya kirafiki dhidi ya Simba SC, Azam FC na Namungo FC. #BoiplusUpdates
5
155
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Khalid Abdallah ameteuliwa na CAF kuwa Kamishna wa mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika Ahly SC (Misri) vs Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini) utakaochezwa Februari 25, 2023 uwanja wa Al Salam, Cairo. #BoiplusUpdates
3
49
Mchezaji wa timu ya Taifa ya Ufaransa Karim Benzema, ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la Kimataifa. Benzema mwenye umri wa miaka 35, amehitimisha maisha yake ya soka ndani ya timu hiyo akiwa amecheza jumla ya mechi 97 na kufanikiwa kupachika mabao 37. #BoiplusUpdates.
2
75
Imeripotiwa kuwa Karim Benzema hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu ya Taifa ya Ufaransa kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Dunia Qatar kutokana na majeraha. Wachezaji wengine wa Ufaransa watakaokosekana ni Kante, Pogba, Kimpembe, Maignan na Nkunku. #BoiplusUpdates
6
Yanga SC itacheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia 🇹🇳 katika mechi za mtoano Kombe la Shirikisho Afrika kufuzu hatua ya makundi. Mechi ya kwanza itacheza Novemba 2 uwanja wa Mkapa, Dar na kumaliza ugenini Novemba 9. Africain waliitoa Kipanga FC #BoiplusUpdates
5
Timu za Nigeria 🇳🇬 kwenye michuano ya Afrika leo: • Rivers United [2-1] Wydad AC 🇲🇦 • Plateau United [2-1] ES Tunis 🇹🇳 • Kwara United [3-1] RS Berkane 🇲🇦 #BoiplusUpdates
1
5
Azam FC, kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa Djibout, AS Arta Solar 7, mechi itakayofanyika Uwanja wa Azam Complex Agosti 30, 2022. Timu hiyo imesajili nyota wa zamani waliowika kwenye Ligi Kuu England, Alex Song na Solomon Kalou. #BoiplusUpdates
5
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Ethiopia, Saint George S.C watakuwa wageni wa @SimbaSCTanzania kwenye mchezo wa Simba Day. #WeAreUnstoppable #SimbaDay2022 #BoiplusUpdates
2
Singida Big Stars imemtambulisha rasmi mshambuliaji Meddie Kagere akitokea @SimbaSCTanzania #SingidaDay2022 #BoiplusUpdates #UpdatesGuarantee @BoiplusMedia @singidabsfc
4
Beki wa zamani wa @simbasctanzania Pascal Wawa ametambulishwa rasmi na timu ya @singidabsfc . #SingidaBigStars #BoiplusUpdates #UpdatesGuarantee @BoiplusMedia @singidabsfc
2
Geita Gold FC imekamilisha usajili wa mshambuliaji Miraji Athuman 'Sheva', akitokea KMC FC. #Usajili #BoiplusUpdates #UpdatesGuarantee @BoiplusMedia @geitagoldfc
2
Klabu ya @polisitzfc imekamilisha usajili wa winga Khamis Kanduru kwa mkataba wa miaka miwili. #Usajili #PolisiTanzaniaFC #BoiplusUpdates #UpdatesGuarantee @BoiplusMedia
2
Klabu ya Polisi Tanzania imekamilisha usajili wa mchezaji wa Kimataifa wa Uganda Ambrose Awio kwa mkataba wa iaka miwili akitokea Biashara United #BoiplusUpdates @BoiplusMedia
1
2
Klabu ya Namungo FC imekamilisha usajili wa James Mwashinga akitokea Biashara United. #BoiplusUpdates @BoiplusMedia
3
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mchezaji Nelson Esor-Bulunwo Okwa kutoka Rivers United ya Nigeria 🔴⚪️ #BoiplusUpdates @BoiplusMedia
6
Full Time: Azam FC 1️⃣-0️⃣ Grand SC ⚽ Price Dube 19' #MechiYaKirafiki #PreSeason #AzamFC #BoiplusUpdates @azamfc
3
Kikosi cha Yanga leo kimecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo FC na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 Wafungaji: Makambo ⚽️ Mayele ⚽️ (P) #YangaSC #PreSeason #BoiplusUpdates @yangasc1935 @namungofc
3
Ratiba ya @tplboard ya @NBCTanzania msimu wa 2022/2023. Mechi gani unaisubiri kwa hamu ? #NBCPL2022_2023 #BoiplusUpdates @Tanfootball @NBCTanzania @azamtvtz @TBConlineTZ
2
Geita Gold FC imeingia mkataba wa miaka miwili na mlinzi wa kati Shown Oduro kutoka Acra Ghana. #Usajili #BoiplusUpdates @geitagoldfc
5